Wapi wanauza viatu, nguo za jumla kwa bei rahisi

Wapi wanauza viatu, nguo za jumla kwa bei rahisi

Wewe siyo mfanyabiashara, na kama ndo unaanza hatuendagi ivyo mkuu... fanyia kwanza utafiti kitu unachotaka kufanya siyo kutuambia unataka kununua viatu kwa beli na viwe vya vijana; kama uko seriaz ungeomba ushauri kwanza jinsi ya kuendesha biashara siyo kuja kuulizia wap pa kupata bidhaa kwa jumla tena kwa belo
 
Wewe siyo mfanyabiashara, na kama ndo unaanza hatuendagi ivyo mkuu... fanyia kwanza utafiti kitu unachotaka kufanya siyo kutuambia unataka kununua viatu kwa beli na viwe vya vijana; kama uko seriaz ungeomba ushauri kwanza jinsi ya kuendesha biashara siyo kuja kuulizia wap pa kupata bidhaa kwa jumla tena kwa belo
Acha shobo na punguza kujikuta mjuaji

Una uhakika gani kwamba sijafanya utafiti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom