Mpeni vipande vyake mpuuzi huyu. Ananichefua sana anapowachafulia binti zetu future yao. Hata kama ni kuwaonya, njia anayotumia si sahihi. Na Mungu atamlipia hapa hapa kwa mabinti zake kama anao. Pambaf.......... mkubwa.
Mungu awabariki Ma-DR. Nendeni mkatafute maisha bora sehemu yenye maslahi na mazingira bora ya kazi. Sisi tutaendelea kwenda kwa Babu Loliondo mpaka tutakapofunguliwa kujuwa umuhimu wa Ma-Dr.
Uchawi hauna kabila. Mimi mwenyewe yamewahi kunikuta. Nilikuwa na bahati mbaya ya ajabu kuwa na ma-HG watatu mfululizo wote wachawi. Wa kwanza alikuwa msukuma, alikaa kidogo na tulipomgundua na kuanza kumpeleka kwenye maombi akatoroka. Wa pili alikuwa Mnyaturu kutoka Singida. Huyu alianza...
Hivi nyie hamna kazi za kufanya? Mnapigia kelele kitu ambacho hamjui? Hivi mnadhani huyo Dr. Slaa na Josephine ni wajinga mpaka wakatangaze ndoa kanisani wakati wakijua wana vikwazo? Hamjiulizi jeuri hiyo wameipata wapi? Kwa taarifa yenu ndoa ya kanisani haisimamishwi na Mahakama. Rose...
Asante YESU Sifa kwa Yesu. Asante kwa Huruma na Upendo wako mkuu kwa Dr. Ulimboka. Tutakusifu na kukuabudu siku zote kwa maana wewe ni Mkuu.
Dr. Ulimboka ataendelea kulindwa na Mungu kwa kuwa ana sababu naye za kuendelea kuwa Hai. Hao wanaojifanya kuwa na uwezo wa kutoa Roho za watu, watapata...
kama kuna mbwa tena koko TIGO ni mbwa koko. Ninawachukia kiasi kwamba sitaki hata kuwasikia. Simcard yao niliitupa chooni kwa hasira. Majizi wakubwa hao. Matangazo ya kipumbavu na kuiba pesa kwenye simu kwa kitu ambacho hujajiunga nacho. Sijui TCRA wako wapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.