mariavictima
Senior Member
- Jul 8, 2010
- 179
- 39
Mpeni vipande vyake mpuuzi huyu. Ananichefua sana anapowachafulia binti zetu future yao. Hata kama ni kuwaonya, njia anayotumia si sahihi. Na Mungu atamlipia hapa hapa kwa mabinti zake kama anao. Pambaf.......... mkubwa.