meeku
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 569
- 108
Kama kuna vitu vinanikera ni ma-sms yanayoyumwa na kampuni bila utaratibu. Kwanza kwa siku unatumiwa sms zaidi ya 20 halafu zote ni utumbo mtupu. Ukinunua muda kwa tigopesa lazima zije sms kama 5 au 6. Zote zimebeba ujumbe wa kipumbavu. Kwani hawa Tigo wanafikiri hatuna muda wa kufanya kazi au tutakuwa tunasoma ma-sms yao ya kipuuzi. Kama hawatabadilika ni bora nikae pembeni. huu ni upuuzi.