Asterisk JF-Expert Member Jun 1, 2012 214 50 Jul 17, 2012 #2 Sasa mbona ka kufuli kenyewe kadogo?? halafu nahisi kana tekenyeka...
1 19don JF-Expert Member May 13, 2011 672 205 Jul 17, 2012 #4 niwepa faida mara 2 kwa nini hapo wanachukua side mirror na kibubu unatuwa umewatengenezea
BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,988 2,012 Jul 17, 2012 #5 Hiyo mbona rahisi, wanachukuwa na huyo mlinzi wako
Ngongo JF-Expert Member Sep 20, 2008 18,921 31,161 Jul 17, 2012 #6 Duh nimecheka kweli Tanzania yetu kwa ubunifu hakuna wakutufikia.