hahahahahahahahahah!!!mlishajiroga wenyeeeeweeeeeeeeeee!!haya jilaumuni..mlishaambiwa mechi ni dakika 90 uwanjani sa nyie mnatabiri ikiwa ni dk ya 1??...LAKUCHUMPA BAAAAAAAAAB!!!!
Great. Ila mi najiuliza ni vipi nitajua tabia ya mama ake endapo anaishi mbali mno?mfano mi nipo Arusha afu mamkwe mtarajiwa yupo Mtwara? Mambo mengi yananipa taabu kidogo kwani watu siku hizi hatuaminiki kabisa yaani tumekuwa wabaya kuliko hata wanyama.
mzalendo 80 sema mwenzangu...........ni madereva daladala wenye akili timamu na walala hoi wanaoona vya kwao vinaliwa na makada bila wao kunufaika navyo sa kwanini tusiwatoe nishai wanaotumaliza??????????wao walianza sie twamaliza mkuu.waendelee kuwa vilaza kwa kudai mwongozo kila kukicha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.