Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Kaka siku hizi makabira ni majina ,tu kuna dada wa kichaga namjua mambo yake ni pure mzaramo.Wewe ndiye muoaji hauoi ukoo.kama unaona anafaa beba mzigo
...lol....mchagga mzaramo!....jana nilisema mchagga wa Tanga nusura nitolewe jicho!
hivi mnaowahukumu wamachame,...kuna mmachame mwenye ahueni, au wote sawa?
'Samaki mmoja akioza,....!'