kuna baadhi ya hao walio tajwa for nwhat I know ni kweli wana dr. za ukweli! Lakini kitu kimoja cha kujiuliza kwa Mleta maada je kila linalosemwa na CIA kwetu ni sheria au ndio ukweli?
Huu kweli ndio utawala wa sheria?Mbona kama ndio hivyo haki za binadam hazifwati kabisa....?kama kweli hayo yanayo andikwa ndio yanatendeka watu wa hakiza binadamu inabidi kuingilia kati sababu huku ni kuwa provoke watu wafanye mambo ya ajabu
kweli inauma sana kwasababu viongozi wetu hawa take responsibility zao masaa kumi na sita ni mengi sana.....poleni sana wafiwa...mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.Hii ni sawa na ile ya Gorofa mateja ndio wanaanza kukutana na miili Jangwani wakati kipindi cha uokoaji walikuwpo wakubwa...
kila mmoja anamawazo yake ya kuchagua kwamba hiki ni kizuri na hiki ni kibaya as long as ana uwezo wa ku reason na ku argue!kuwa super brand au kuwa na presenter creative hakumfanyi mtu aikubali kivile.......kuna watuwanazikubali sana redio nyingine kama radio one na zipo za mikoani mwao ambazo...
Tanzania kila kitu kimejaa Siasa sababu viongozi wa mpira ndio wale wale wanasiasa, ukienda kwenye Elimu the Same sasa mnategemea nini na hawataki kuwa achia wengine!
under the sun nothing is imposible...........ni mda tu ndio unahitaji na mda huo ni sasa ambao watu wana amka hamna haja ya vurugu wala nn ila awareness ya watu ndio itawatoa magamba!
Siasa ni mchezo mchafu ambao wenyewe waliomo kwenye system wanakwambia if you wont make it,just fake it!nawachukia sana sababu wote sio wa kweli hata chembe
watanzania kawaida yetu ni maselfish sana ndio maana hata kazi watu wanapeana kimtindo mtindo......kwahiyo network mnayotaka kuitengeneza nayo itakuwa na madhumuni ya kibinafsi kama yakupena job!
pomerini secondary 2003-2004 nilihamia level jumapili tunakwenda kanisani mabandani makla kitu kinaitwa waki(wali kiepe unachanganywa) full baridi basi lipo moja tu kwacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.