nakumbuka mwaka 2003-2004 sekondari mkwawa,ukiwa na 500 siku nzima uingii mesini,unaenda sehemu inaitwa makanyagio.100 asubuhi unapata chai kwa maandazi matatu,mchana 200 wali kwa maharage,jioni 200 tena unapata wali kwa maharage.
Gangilonga primary na ruaha secondary bana mwezi wa sita noma baridi na ukungu
Advance Tosamaganga,enzi hizo. Ulanzi ulpatikama Ipamba,pia tulikwenda huko Ipamba kutafuta mende kwa ajili ya disection.
Vilevile vyura kwa ajili ya disection tuliwafuata Msiwasi.
Mabansi tuliyapata kwa masista au kwa mama mingoyo.
Don bosco seminary banaa, baridi ndo ki2 ambacho sintakisahau