Tanzia: Professor Wambali hatunae tena duniani

Tanzia: Professor Wambali hatunae tena duniani

Rafiki yangu na mwanadarasa wangu Prof. Michael Kajela Beatus Wambali amefariki dunia leo tarehe 4.4.2013. Kwanza alilazwa katika Hospitali ya Jeshi Lugalo kabla ya juzi kuhamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikofariki dunia. Kwanza ilisemwa kuwa Prof. Wambali alikuwa anasumbuliwa na shinikizo la damu. Baadaye,ikasemwa kuwa Prof. Wambali amegundulika kuwa na uvimbe sehemu ya koromeo uliokuwa ukiathiri ulaji wake. UDSM kama mwajiri wake ilishindwa hata kumpatia huduma ya haraka Prof. Wambali. Jibu lililotoka UDSM na kuidhinishwa na Kitivo cha Sheria pale lilisema kuwa 'Chuo Kikuu hakina hela'. Prof. alipaswa kufanyiwa matibabu ya haraka hapa nchini,nchini Afrika Kusini au India. Akaachwa.Akasuswa. Hata Prof. Wambali amefanyiwa hivyo kweli? Chuo kimekosa fedha za matibabu kwa Mhadhiri tegemezi wa Sheria kama huyu? Chuo kina fedha nyingi kulipa safari za Prof. Mukandara na watu wake na si matibabu ya wahadhiri wake? Inauma sana na kutia aibu. Nenda Prof. Wambali. Lakini,UDSM watalaumiwa kwa kukutelekeza pamoja na huduma iliyotukuka uliyowapatia tangu miaka ya 80 hadi leo. Msalimu Comrade mwenzetu,Hayati Prof. Jwan Mwaikusa. Pumzika kwa amani classmate! VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
RIP Prof , i.m not criticizing lugalo hospital but I place doubt on the Medical Assistants
 
.....Yote kwa yote inaonekana uko karibu na Profesa na pia uko karibu na familia na unafahamu undani wa swala la maradhi ya Profesa ... cha kushangaza kwa nini hukutoa ushauri unaoutoa sasa baada ya msiba kutokea? R. I. P. Profesa
 
.....Yote kwa yote inaonekana uko karibu na Profesa na pia uko karibu na familia na unafahamu undani wa swala la maradhi ya Profesa ... cha kushangaza kwa nini hukutoa ushauri unaoutoa sasa baada ya msiba kutokea? R. I. P. Profesa
Mkuu pilau,nimetoa msaada wangu wa kimawazo na kifedha kidogo kadiri nilivyoweza. Katika dharura kama hii,mwajiri hutangulia kuzima moto
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la wanasiasa kuonga vyuo wanaendekeza ulaji na si utu.
 
tanzania hawajui thamani ya watu wake muhimu. sio UDSM peke yake sehemu nyingi taasisi nyingi za serikali. ila wakiugua wenyewe walioshika mpini haraka nje ya nchi.
 
RIP Prof , i.m not criticizing lugalo hospital but I place doubt on the Medical Assistants

Lugalo Military Hospital is full of clinical officers and Assistant Medical officers

RIP Prof Wambali
 
Nimfahamuvyo Prof Mukandala, hakuwahi kuwa mtu mwema kwa watu wote kwa kuwa amejawa sana na ubaguzi tukianzia kwa ukabila na kuwaona wa maana wale watu wake wa karibu tu (walio katika cycle yake). Mukandala, is not a goog administrator and manager. Wakati wanateua hawa ma VC busara itumike zaidi kuliko kuangalia CV zisizo za maana. Rest in Peace Prof. Wambali.
 
Tumwombee alale mahali pema. Lawama zisimsindikize, ila yote yaliyotokea ni mapenzi yake Mungu. Kila nafsi itaonja mauti. Leo ametutangulia. Hakuna uwezekano wa yeye kurudi, ila uwezekano ni wa sisi kumfuata. Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe!
 
tanzania hawajui thamani ya watu wake muhimu. sio UDSM peke yake sehemu nyingi taasisi nyingi za serikali. ila wakiugua wenyewe walioshika mpini haraka nje ya nchi.

Asante nana mkuu Iron Lady kwa kuliona hili. Fikiria katika taasisi nyingi za serikali au na zile binafsi mtumishi anapougua badala ya kuhakikisha kuwa anaishi kwa kumsaidia pale inapowezekana hasa financially kwa matibabu na mambo mengine basi utaona hakuna lolote. Ila akifa tu utaona watu wa utawala wakihangaika kuandika madokezo ya kuomba hela ya geneza na chakula kwa wafiwa huku wakijua katika hizo hela lazima pia wapige panga!! Shame, shame shame!! Ulafi na kukosa ubinadamu.
 
Rafiki yangu na mwanadarasa wangu Prof. Michael Kajela Beatus Wambali amefariki dunia leo tarehe 4.4.2013. Kwanza alilazwa katika Hospitali ya Jeshi Lugalo kabla ya juzi kuhamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikofariki dunia. Kwanza ilisemwa kuwa Prof. Wambali alikuwa anasumbuliwa na shinikizo la damu. Baadaye,ikasemwa kuwa Prof. Wambali amegundulika kuwa na uvimbe sehemu ya koromeo uliokuwa ukiathiri ulaji wake. UDSM kama mwajiri wake ilishindwa hata kumpatia huduma ya haraka Prof. Wambali. Jibu lililotoka UDSM na kuidhinishwa na Kitivo cha Sheria pale lilisema kuwa 'Chuo Kikuu hakina hela'. Prof. alipaswa kufanyiwa matibabu ya haraka hapa nchini,nchini Afrika Kusini au India. Akaachwa.Akasuswa. Hata Prof. Wambali amefanyiwa hivyo kweli? Chuo kimekosa fedha za matibabu kwa Mhadhiri tegemezi wa Sheria kama huyu? Chuo kina fedha nyingi kulipa safari za Prof. Mukandara na watu wake na si matibabu ya wahadhiri wake? Inauma sana na kutia aibu. Nenda Prof. Wambali. Lakini,UDSM watalaumiwa kwa kukutelekeza pamoja na huduma iliyotukuka uliyowapatia tangu miaka ya 80 hadi leo. Msalimu Comrade mwenzetu,Hayati Prof. Jwan Mwaikusa. Pumzika kwa amani classmate! VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Acha kutafuta visingizio, mtu kesha kufa basi, nendeni mkazike Muendelee na Maisha!

Kama hayo uliyoyaandika ni kweli na wewe uliguswa sana na kutotendewa haki kwa Marehemu kwa nini hukuja hapa kuleta huo ulalamishi kabla hajafa?

Pia wewe na huyo unayemlaumu hamna tofauti, basi wote mmechangia kifo chake kwa maana ulijua kwamba hapewi matibabu anayostahili, na ulijua ni nini kinamsumbua, na kutokana na maelezo yako pia ulijua wapi anaweza kutibiwa na hatimaye kuokoa Maisha yake, lakini ukakaa kimya, sasa Amekufa ndio unakuja hapa na kuanza kuleta Umbeya na kutafuta Mchawi!

 
Rafiki yangu na mwanadarasa wangu Prof. Michael Kajela Beatus Wambali amefariki dunia leo tarehe 4.4.2013. Kwanza alilazwa katika Hospitali ya Jeshi Lugalo kabla ya juzi kuhamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikofariki dunia. Kwanza ilisemwa kuwa Prof. Wambali alikuwa anasumbuliwa na shinikizo la damu. Baadaye,ikasemwa kuwa Prof. Wambali amegundulika kuwa na uvimbe sehemu ya koromeo uliokuwa ukiathiri ulaji wake. UDSM kama mwajiri wake ilishindwa hata kumpatia huduma ya haraka Prof. Wambali. Jibu lililotoka UDSM na kuidhinishwa na Kitivo cha Sheria pale lilisema kuwa 'Chuo Kikuu hakina hela'. Prof. alipaswa kufanyiwa matibabu ya haraka hapa nchini,nchini Afrika Kusini au India. Akaachwa.Akasuswa. Hata Prof. Wambali amefanyiwa hivyo kweli? Chuo kimekosa fedha za matibabu kwa Mhadhiri tegemezi wa Sheria kama huyu? Chuo kina fedha nyingi kulipa safari za Prof. Mukandara na watu wake na si matibabu ya wahadhiri wake? Inauma sana na kutia aibu. Nenda Prof. Wambali. Lakini,UDSM watalaumiwa kwa kukutelekeza pamoja na huduma iliyotukuka uliyowapatia tangu miaka ya 80 hadi leo. Msalimu Comrade mwenzetu,Hayati Prof. Jwan Mwaikusa. Pumzika kwa amani classmate! VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Na wewe ni prof wa UD??
 
Nyaga, Mwipopo Judge and now Prof. Wambali, bad week for learned brothers and sisters!

Ongezea na Wakili Peter Matolela...inasikitisha..Pumzika kwa amani Prof.Wambali..ulinifundisha law of torts second year and it was the only subject niliyopata "A"
 
Rafiki yangu na mwanadarasa wangu Prof. Michael Kajela Beatus Wambali amefariki dunia leo tarehe 4.4.2013. Kwanza alilazwa katika Hospitali ya Jeshi Lugalo kabla ya juzi kuhamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikofariki dunia. Kwanza ilisemwa kuwa Prof. Wambali alikuwa anasumbuliwa na shinikizo la damu. Baadaye,ikasemwa kuwa Prof. Wambali amegundulika kuwa na uvimbe sehemu ya koromeo uliokuwa ukiathiri ulaji wake. UDSM kama mwajiri wake ilishindwa hata kumpatia huduma ya haraka Prof. Wambali. Jibu lililotoka UDSM na kuidhinishwa na Kitivo cha Sheria pale lilisema kuwa 'Chuo Kikuu hakina hela'. Prof. alipaswa kufanyiwa matibabu ya haraka hapa nchini,nchini Afrika Kusini au India. Akaachwa.Akasuswa. Hata Prof. Wambali amefanyiwa hivyo kweli? Chuo kimekosa fedha za matibabu kwa Mhadhiri tegemezi wa Sheria kama huyu? Chuo kina fedha nyingi kulipa safari za Prof. Mukandara na watu wake na si matibabu ya wahadhiri wake? Inauma sana na kutia aibu. Nenda Prof. Wambali. Lakini,UDSM watalaumiwa kwa kukutelekeza pamoja na huduma iliyotukuka uliyowapatia tangu miaka ya 80 hadi leo. Msalimu Comrade mwenzetu,Hayati Prof. Jwan Mwaikusa. Pumzika kwa amani classmate! VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

So sad I.R.P our dearest prof you will always be remembered prof wambali
 
Last edited by a moderator:
Poleni jamani wote mulioguswa kuna uzi uliletwa hapa na mwana JF aliorodhesha wataalamu wetu waliokufa kama mbwa bila msaada wowote huku wanasiasa wakishinikiza kupelekwa India au South Africa kutibiwa mafua
Lakini na laumu hawa wataalamu wetu waliojikataa kukosa kuhakikisha wanahamasisha kutoa uelewa mpana kwa wananchi kwamba haki ya matibabu kuishi ni ya wana CCM na viongozi wa serikali ya CCM, rejea yule mama mwenye uvimbe mkubwa wa mguu, Tende aliyepiganiwa sana na ITV hivi yule amam bila chombo cha habari jee angekuja kuona uhalari wa maisha kweli
R,I.P. Prof , uliowajaza wananfunzi wako yataendelea kubaki vizazi na vizazi
 
Rest in peace Prof. Wambali. Tanzania has suffered a tragic loss.
 
Pole kwa Familia ya Marehemu,hana muda mrefu toka awe Profesa,na Mauti yamemkuta,Mungu amlaze mahali pema Peponi...!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom