Recent content by Mangolo

  1. M

    hodi ukumbini

    wana wa jf hodi tena ukumbini nilitoka kwa muda kiasi ,nimerejea tena nilikotoka hawajambo wanawapa hai na poleni na majukumu
  2. M

    Tujiandae na 50ya muungano

    wandugu tumshukuru Mungu miaka 50 ya Tanganyika tumekula tujiandae na miaka 50 ya Muungano then kuna miaka 50ya jeshi TZ nchi ya mashereeee
  3. M

    Wafanyakazi wa kitanzania wa mgodi wa Buzwagi watakiwa kufukuzwa kwa vyovyote vile

    INGAWA nimechelelwa sio mbaya nimi nikasema angalau kaneno Haya yote ni matokeo ya kujipendekeza kwa viongozi wetu kwa wageni na kupewa makombo,watatumaliza wageni kwa jeuri ya kulindwa na viongozi njaaaaaaaaaaaaa. Hata hawaoni aibu
  4. M

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    kaka miye ni tajiri kuanzia sasa
  5. M

    Mradi wa kukodisha tractors - maeneo gani yanalipa?

    kaka nimekuelewa lakini ebu jaribu maeneo ya kibaigwa na manyara udongo wake sio mgumu wa kuuwa mashine na mahitajio ni makubwa mno.Wanakolima mpunga ni hatari kwa mashine Pia nakushauri kama bado ujakaa sawa tafuta mtaji wako wamafuta kakopeshe mafuta yaani unawalimia then ulipwe mazao baada...
  6. M

    karibuni kesho

    Wandugu kesho jpili nawakaribisheni saa 8 kwenye soda za mdogo wangu.anatarajia kupata jiko .Karibuni sana
  7. M

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    mkuu hata mimi ningetaka tuungane katika uzalishaji ili tuzalishe kwa wingi na kwa kiwango cha kimataifa,nafanya kazi hizihizi za kilimo.
  8. M

    Why do people cheat??...

    Kucheat???????????????? Nafikiri mimi kikubwa zaidi ni maudhi yasiyoisha kutokujuwa wajibu kati yao kuona kuwa tayari amefika na hakuna zaidi . tamaa isiyo na maendeleo mashoga na washirika/wanaume Wenye kipato kuona mwenzako kama vile kinyago na akigundua atatafuta wapi atathaminika
  9. M

    Wana Jf karibu twende

    kaka naomba ufike hapo maruku uwape sallamu wakwe zangu nakutakia kila la heri
  10. M

    Al-shabaab na Tanzania, mbinu mpya ya kuzuia wanaharakati

    kama wapo kweli na wanalenga mikusanyiko basi ligi kuu , kagame ,stnd ya ubungo ifungwe.lakini kama havitafungwa kufanya mikutano ,kuandamana kuachiwe kama kawaida
  11. M

    Hodi barazani

    Asanteni sana kwa makaribisho nimeshiba na kusaza, ingawa nilichelewa kusema asante ni kwa sababu ya miangaiko ya kila siku ila naomba muipokee asante yangu woooooooooooote,.
  12. M

    Nigombee ubunge jimbo gani 2015?

    NDUGU nenda Ukerewe utakuwa na damu nako
  13. M

    Mbona vyombo vya habari vimesita kuongelea vurugu za Mbeya na UDSM?

    huna habari kuwa kufa kufaana?
  14. M

    Habari muhimu kuhusu mgomo wa wanafunzi wote wa vyuo vikuu tanzania

    aSISI ni wazazi ulichosema ni sahii lakini ni kweli mnao uwezo wa kuungana mkaufanikisha MGOMO? we umepata 100%na mwingine kakosa kabisa utakuwa na machungu naye kweli? inatia uchungu kuona Yatima wa kweli anarudi nyumbani na mtoto wa kigogo akiwa na 100% Hii ndo...
  15. M

    unga walishe kwa watoto wadogo

    Waheshimiwa miye ninataka kuanzisha mradi wa kutengeneza unga wa lishe kwa watoto wadogo nimetafiti soko lipo la kuridhisha tu,nafaka zote zipo masokoni tatizo langu ni jinsi gani yakuchanganya hizi nafaka kwa uwiano gani nipate kitu sahii kwa watoto .akina dada hawanyonyeshi siku hizi nataka...
Back
Top Bottom