NB: hakikisha uko tayari kukaa porini. Ukimkabidhi mtu utalia machozi ya damu. Hesabu za tractor hazithibitiki, usije kuambiwa umelima heka 4 siku nzima, kumbe wazee wamelima 15.
Hili siyo tatizo tena,modern tractors zinayo GPS tracking device inayokuwezesha
kujua ukubwa wa eneo lilolimwa pamoja na masafa kati ya shamba na shamba. Hata hivo Ukizingatia bei ya mafuta,vilainisho,spare na kuchakaa kwa tractor biashara ya kukodisha tractor hailipi sana ukilinganisha na kulitumia kulima shamba lako mwenyewe mfano eka 50 hadi 100 za mpunga.
Dah chief uko deep, lakini sasa bei ya hizo modern tractors si ndio £12,000 kuendelea? ukijumlisha £2500 za kulituma.... hapo si chini ya milioni za kitanzania Sasa return yake hapo ni miaka mingapi ya kilimo, kwa kuwakodioshia watu...NB: hakikisha uko tayari kukaa porini. Ukimkabidhi mtu utalia machozi ya damu. Hesabu za tractor hazithibitiki, usije kuambiwa umelima heka 4 siku nzima, kumbe wazee wamelima 15.
Hili siyo tatizo tena,modern tractors zinayo GPS tracking device inayokuwezesha
kujua ukubwa wa eneo lilolimwa pamoja na masafa kati ya shamba na shamba. Hata hivo Ukizingatia bei ya mafuta,vilainisho,spare na kuchakaa kwa tractor biashara ya kukodisha tractor hailipi sana ukilinganisha na kulitumia kulima shamba lako mwenyewe mfano eka 50 hadi 100 za mpunga.
tractor for sale in zanzibar. Massey ferguson 1104. 110 hp. 2 wd. made in england . good condition. price 10100 usd. low price for fast sale. contact for more information +255773420188
Ifakara
Kilimanjaro
Arusha
Mwanza
bei ni 16.500.000 tshHow much kaka
Asante kaka, Nikiwa tayari ntakutafutaPlease call on above number for details .