Recent content by man oloo

  1. M

    Nataka kuapply degree, ila cheti cha diploma na academic transcript bado havijatoka

    Samahani naomba unieleweshe inakuaje hiyo ya kutumia matokeo ya semister?
  2. M

    Kampuni ya ACACIA yaipa serikali notisi ya kwenda mahakamani

    Kwahiyo wewe ulitaka tusijipe moyo?
  3. M

    Kampuni ya ACACIA yaipa serikali notisi ya kwenda mahakamani

    Lakini watanzania wenzangu ni kweli makosa yalishatoke pamoja na hayo haitakiwi kuwabeza wanaopambana ili kuweka mambo sawa. Ninawashangaa sana wanchi wanaoanza kulaumu na kudai kuwa ACASIA wanatuzidi na ni makosa yaliyofanywa na viongozi wetu. Sijaelewa wanamaanisha nn au wanahitaji kwa kuwa...
  4. M

    Serikali iliangalie upya hili suala la bidhaa feki

    Habari wapendwa. Kuna hili swala LA bidhaa feki. kwa Mara ya kwanza sikujua kama tofauti na sisi watumiaji hakuna athari nyingine kwa taifa lakini kumbe hata uchimi wa taifa unatetereka. Juzi nimefuatilia kidogo binge lokizungumzia suala hili nilishangaa sana tu kuwa kwa mwaka mmoja (2016)...
  5. M

    Anachotafuta Makonda ni laana, anafokea maafisa Elimu

    Ukitaka upendwe wewe?
  6. M

    Waalimu mnakera sana!

    Huu ukosefu wa ajira haujawahi muacha MTU salama Tatizo linakuja kwenye hii roho mbaya , sasa kukosa kwake ajira ndo awachukie wal8o kwenye system??!! Ataisoma namba mlafwoko huyo
  7. M

    Waalimu mnakera sana!

    Hapo we ndo kilaza kwan walimu wngp wanfanya mambo ya maana. Walimu wangapi wanastaafu pensheni wanafnyia vitu vya maana........hujafikiria sana MKUU...watu hapa tumesomeshwa kwa mshahara ya hao waalimu unaowadharau wewe .....walimu hao unaowaponda wewe ndio waliokupa baadhi ya maarifa na ujuzi...
  8. M

    Waalimu mnakera sana!

    Mtoa posti hajafikiria sana. Hajui kama kuna kazi na maisha ya MTU binafsi? Kwani unamaanisha watumishi kwenye maisha mabaya ni waalimu oekeyao?????? Nenda mirembe hujielewi
  9. M

    Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

    Siamini kama wote tunaabudu Mungu mmomoja kama nimkwa style hii haitakuja hata siku Moja tuwe kitu kimoja tuishi kwa upendo..... Lait kama wote tungekuwa tunamuabudu Mungu mmoja tusingedharauliana kiasi hiki
  10. M

    Mambo yasiyoacha watu salama

    Kumukwichi kwichi mwanafunzi hakutakuacha salama
  11. M

    Mambo yasiyoacha watu salama

    Kivipi sijaelewa
  12. M

    Msanii tecno na utaalamu wa lugha ya kiswahili

    Hata siku moja ...... Dude LA wasafi halimuachi MTU salama Akxante kwa kufanya ambacho hakikutegemewa haijalishi umeandika au umeandikiwa Salut
  13. M

    Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

    Mm naona kama mnatafutanjambo ambalo halitakiwi katika nchi hii wingi wenu hakuna athari yoyote kwa taifa hili.
  14. M

    Utoro wa walimu unatugharimu zaidi ya mara mbili ya pesa za Escrow kwa mwaka

    Mwalimu anavipindi saba kwa siku muda huo huo inatakiwa asahihishe madaftari 430 kwa siku bado hajajaza faftari LA mahudhurio ya wanafunzi 250, pia mwalimu huyo huyo inatakiwa afanye na majukumu mengine unafikiri ataweza yote
  15. M

    Panya ni Chakula cha Anasa sana Malawi.

    Nitatumia tu litakalokuwa na liwe
Back
Top Bottom