Waalimu mnakera sana!

Waalimu mnakera sana!

Huna tu uwezo wa kuelewa lugha hii possibly kwakuwa na kadivisheni 4 kako kale kapointi 28 au upe ndio maana umekosa hoja nyamaza kimya!
Acha kulazimisha mambo wewe ,hiyo lugha inawenyewe.
Sentensi zako za kibashite ndo maana wadada walimu wanakutoa povu.
Collective judgement inaonesha mapungufu kwenye mchakato mzima wa kufikiria.
 
afd5ede4b34cf08cfda2766521f3414d.jpg


Mtu mwenyewe umejiunga JF january 22 hata nusu mwaka bd hujamalza unakuja kutoa ukoko humu. wenzako wanatuliaga kwanza kusoma upepo na kuangalia watu wanaoshusha mada kwa Logic na evidence. We unakuja kutapika mapera humu. No wonder post 200 like 70
Naona bitoz anaanza kuvuliwa taulo hadharani.
 
WONDERS JF

we jamaa umenishangaza sana, kumbe n mwl tena asie na ajira, Chuki zako tuu unakuja kubwabwanya humu. Usimuombee mwenzako mabaya ,ila kwa stail hii Ajira utaiskia Mtandaoni.


c8adff85face663efbfd957a3cdb5291.jpg


Siku zote mtu akituma post ya kipuuuzi cha kwanza n kuangalia Background yake kwanza, Mwisho wa siku naona kile ambacho nilitarajia kukiona
Kaka we ni balaa. Naona huyu kenge mmemvua taulo.

Kumbe ni wivu unaomtoa povu.

Sijawahi ona jitu lofa na bwege Kama hili kenge.

Kumbe linautamani sana ualimu halafu linajishebedua kwa kubidua mitako juu kwa kujifanya matawi juu kuwaponda walimu.

Nimeamini humu jamii forums sio mahala salama kwa vilaza kama huyu lofa.
 
Hivi kwanini walimu inasemekana wengi wao wana maisha duni???

Kwa kupitia comments mbali mbali nimejua kabisa kuwa dahhhhhhhhhhh


Kwenye huu uzi nimejua mengi sana

Thanks
Cc Smart911
 
Hivi kwanini walimu inasemekana wengi wao wana maisha duni???

Kwa kupitia comments mbali mbali nimejua kabisa kuwa dahhhhhhhhhhh


Kwenye huu uzi nimejua mengi sana

Thanks
Cc Smart911
Mtoa mada atakuwa na jambo lake...
Hayo mambo anayosema yapo siyo kwa walimu peke yao...

Kwenye kila kazi kuna wabinafsi, wenye majungu, dharau, chuki, roho mbaya na mambo yate mabaya na mazuri...

Penye riziki hapakosi fitna...
 
Shikaamoooo....mwaaaaaaaaaalim!! Hatujambo. Aaaaaaaasante....mwaaaaaaalim!!
 
Acha ukilaza wewe mwalimu kwahiyo mtu akikukosoa anakuwa interested na mapenzi. Au wewe ukimkosoa mwanafunzi wako tuseme unamtaka kimapenzi.
Kama ni hivyo itakuwa tatizo ni kubwa zaidi ya ninavyolijua.
Kubali kukosolewa halafu jitathmini kama una tatizo jirekebisheni sio kubwabwaja nonsense!!!!
Hapo we ndo kilaza kwan walimu wngp wanfanya mambo ya maana. Walimu wangapi wanastaafu pensheni wanafnyia vitu vya maana........hujafikiria sana MKUU...watu hapa tumesomeshwa kwa mshahara ya hao waalimu unaowadharau wewe .....walimu hao unaowaponda wewe ndio waliokupa baadhi ya maarifa na ujuzi unaotumia mpaka Leo hii............ Fikiria Mara mbili kisha uandike hoja ya maana na siyo hiyo uliyoandika
Dharau hazijawahi muacha MTU salama
 
Yani mleta uzi, ungekuwa karibu yangu au shule ninayofundisha na kuongea upuuzi kama huu, hakika usingetoka salama. Meno yako yote 32 yangekuwa ukumbusho maktaba ya shule, wanafiki kama ww huwa siruhusu wakatize na maneno ya kike kama haya.
 
Nakuombea mungu watoto wako wawe walimu wrote tena Wa masomo ya sanaa
 
Hapo we ndo kilaza kwan walimu wngp wanfanya mambo ya maana. Walimu wangapi wanastaafu pensheni wanafnyia vitu vya maana........hujafikiria sana MKUU...watu hapa tumesomeshwa kwa mshahara ya hao waalimu unaowadharau wewe .....walimu hao unaowaponda wewe ndio waliokupa baadhi ya maarifa na ujuzi unaotumia mpaka Leo hii............ Fikiria Mara mbili kisha uandike hoja ya maana na siyo hiyo uliyoandika
Dharau hazijawahi muacha MTU salama
Mkuu huyu jamaa haina haja ya ku mquote, halaf kumbe n mwali aliekosa ajira anakuja kutapatapa humu
4d5d411ea06273becd173f2fb48d25cd.jpg
 
Lugha ni zao LA fasihi!then hujakitendea haki kiswahili mawazo yako ni finyu sana kulingana na taaluma uliozungumzia na ualimu siyo shule za kayabo na kayumba pekee .panuka kifikra hii ni sekta pana !next time uchimbe zaidi ndo utuleteE
 
Yani mleta uzi, ungekuwa karibu yangu au shule ninayofundisha na kuongea upuuzi kama huu, hakika usingetoka salama. Meno yako yote 32 yangekuwa ukumbusho maktaba ya shule, wanafiki kama ww huwa siruhusu wakatize na maneno ya kike kama haya.
7c136034c4e3507d5ae2a70161d349ff.jpg


Mkuu huyu hata usihangaike nae, ana strees za kukosa ajira, atakua kasomea stad za kazi
 
Mkuu mimi sijawahi kufikiri kumtongoza mwalimu au ningetaka ningeisha fanya maana zipo njia nyingi za kumpata mwalimu kutokana kuwa wengi wao wana maisha magumu hatari
Kwa kifupi sina mahali naweza kutana na mwalimu maana ninapoweza kwenda kubarizi mwalimu hana uwezo wa kufika labda ajichange mwaka mzima.
Sanasana tunaonana wakifika niwakopeshe sukari 'unga na chumvi au nauli wakafuate mshahara vinginevyo kutokana na tabia zao sio wote sinaga mzuka nao
989451f0dc6e0a51f38d3cfb0aa64fc8.jpg
 
nani kakwambia ualimu ni wito? hii ni kazi kama nyingine.


kuhusu majungu na kujipendekeza, hii ni tabia ya mwanadamu. hata bungeni unaona wabunge wanavyojipendekeza kwa mamlaka!

kuhusu ushirikiano miongoni mwao, sio lazima sana. urafiki haulazimishwi.


kujidai, hulka ya mtu, hata mpiga debe anajidai.


hitimisho:
walimu nawaomba mkaishi kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni za nchi.


Exactly
 
Huu ukosefu wa ajira haujawahi muacha MTU salama
Tatizo linakuja kwenye hii roho mbaya , sasa kukosa kwake ajira ndo awachukie wal8o kwenye system??!!
Ataisoma namba mlafwoko huyo
 
This iz one of bt secta zote watu wapo wenye kimbelembele nenda kwenye usalama uone
 
Back
Top Bottom