sense mwaka 2012 as per national bureau of statistics (NIDA si sehemu sahihi....)
Tabora 2,291,623 ; kigoma 2,127,930; shinyanga 1,534,808; kagera 2,458,023; Mwanza 2,772,509; Mara 1,743,830; Simiyu 1,584,157; Geita 1,739,530 jumla kuu ya mikoa yote hiyo 8 mnaojiita ndugu (sio wasukuma peke yao jumlisha na vikabila vingine vyote vya kanda ya ziwa hadi na wakimbizi walowezi) jumla kuu ni 16,252,410 sawa na asilimia 36% ya watanzania wote. huku takwimu za kiwango cha elimu mkishika literacy rate 9. Mara 80.7; 11. Mwanza 79.9; 16. kagera 76.8 na Kigoma 76.0....
takwimu nyingine kasome mwenyewe data zipo.
Acheni kujidanganya watu wakifanya ukabila hamtobaki salama..... kwanza idadi haitoshi na pili bado kuna "zero brain" wengi mno kwenye jamii yenu.
wengi mnachanganya issue ya ukubwa wa kabila la kisukuma na wingi wa idadi ya watu, nadhani kama tutaweka uwiano wa kabila 1moja moja by far mnawapita wengine, ila kama kabila 120 zikiunganisha hatwa 1/10 hamfiki...
Nendeni shule pleaseeeee......