Yani Mtu Kaona Leo anaham yak posti kajifikilia weee kajitungia zake mwenyewe basi kajiona katuweza mwenyew
Kama kuandika tu unatetemeka uyo jini akikujia si Utazimia wewe alafu unasema kakwambia usimwambie MTU qw qw qw Mbona sasa ushasena
Acha kutufanya atuna Akili
Mh Mambo mazito sana aya Sema wangepatikana watu 100 kama Kiranga bila shaka watu tungekuwa tukisoma vitabu
Iyo nzur Kiranga nzur sana tu Hapo kuna Vitu vingj tu nimevipata
Naona watu Awataki kujibu maswali Wanaluka luka tu nailo ndo tatizo lakuwa wavivu wakusoma na kuwa wapesi kukalili
mmmmmmh tena Wamachame Ndosio poa kabisa yani mnatafuta Pesa Mkizipata Hanaanza kukuwinda yani Mzee kweli kuna wanawake bhana sio safi
Lakini sio wote bhana kwenye wabaya wazuli wapo pia
Hapo Ni kumtafuta tu uyo mwenye kutembea na Mkeo kisha kukaanae chini kumueleza kwamba anakosea akifanyacho pia Kumtaka ahachane na uyo Mke wako (Ndoa ngumu) kwaiyo lazima kuvumiliana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.