Ni maamuzi gani mazuri ya kuchukua ukimjua mtu anayetembea na mkeo?

NimewazA tu kwa sauti.
Kama utamjua mwanaume anayetembea na mkeo.
Ni yapi maamuzi mazuri baina ya hawa watu wawili.

Naombeni ushauri tu.
Hapo Ni kumtafuta tu uyo mwenye kutembea na Mkeo kisha kukaanae chini kumueleza kwamba anakosea akifanyacho pia Kumtaka ahachane na uyo Mke wako (Ndoa ngumu) kwaiyo lazima kuvumiliana
 
Haya maamuzi yanataka uwe umevuta bangi gunia moja peke yako kwa siku mbili
Hakuna cha Bangi wala pombe mkuu...
Mwanadamu yoyote kuna hali fulani inamtokeaga inambadilisha gafla na inaweza kumfanya akatenda jambo fulani!akaamua maaumuzi ambayo hata yeye hapo badaye atashanga kuwa kayafanya..

Ova
 
Nitawateka wote 2 kisha nitawachinja shingo pole pole huku wakitazamana mpk watakapopoteza nuru na kuachanisha kabisa kichwa na kiwiliwili
 
Ukiona mkeo anachepuka ujue na wewe ulianza kuchepuka,,,so kuwa tu mpole ubadilike wewe kwanza
Nope sio kesi zote. Wake wengine ni wahuni tokea huko nyuma. So alificha makucha ili umuoe lakin baadae sasa baada ya kuoa ndio akaonyesha makucha yake sasa.

Tena hao ndio wengi sikuizi.. a.k.a slay queens. Hawa ata uhonge mgodi wa madin , watachepuka tu sababu ni tabia zao toka huko nyuma.
 
Mkuu utaacha wangapi. Isitoshe ukiachana na huyo unaoa Tena mke aliye zini na watu wengine (I mean sio bikira ). Jitahidi usijue michepuko ya mkeo utabaki salama. Wala usijihusishe kukomoana na mkeo kuhusu michepuko.
Ishu sio kuacha bikra wala kuoa bikra. Wanawake wengi sasa hiv hawana hiyo bikra, so kama ni ishu ya usaliti na ww uki play part yako kam mume ukafanya kila kitu na bado akakusaliti basi piga chini. Maana huyo hatoridhika na ww hata umsamehe mara ngapi.

Na pia unapotwa na mashaka kuhusu mkeo kuchepuka ni vema ukajua kabisa. Kwa nn ujipe matumaini fake wkt ukweli unaujua?
Chunguza muoneshe madudu yake, halaf mpotezee..
Na si wanawake wote ni wasaliti,wanaojiheshimu wapo..
 
Huku kuna njemba moja mbavu nene ilimfuma mkewe na mzee mmoja basi ilimuozesha huyo mwanamke kwa nguvu na kumwambia

Kuanzia leo huyu ni mke wako nakuozesha na sitaki kusikia analalamika shida yoyote ktk maisha yake,na hawa watoto wangu kuanzia leo utawahudumia kwa kila kitu na nisisikie wana shida yoyote maana nikiletewa malalamiko yoyote kuwa wana shida yoyote basi kichwa chako halali yangu.Mzee hadi leo anahudumia familia km maelekezo yalivyo na miaka kibao imeshapita na maisha yanasonga.
Hii kiboko ya uchafu,
 
246tr6.jpg

apologies-dont-mean-anything-if-you-keep-doing-what-youre-sorry-for-quote-1.jpg
 
Last edited:
Kwakua imeandikwa "Akupigae shavu la Kulia, basi mjeuzie na La kushoto" haina budi kufanya hivyo. Mke ndio chanzo so Attack the source 🤒
 
Hiyo sio safari kwamba unajiandaa, ikikutokea unaweza kushangaa baadae maamuzi uliyoyachukua pamoja na kwamba ulikuwa na plan yako kichwani, muombe Mungu akuepushe kushuhudia tukio kama hilo maana ile ni trauma
 
Back
Top Bottom