TTCL: Hakuna tena kifurushi cha chuo (Boom pack) ttcl!!

TTCL: Hakuna tena kifurushi cha chuo (Boom pack) ttcl!!

Nimeona kifurushi cha mwezi cha Data pekee kiko hivi
1. GB 2 = 2500/=
2. GB 5 = 5000/=

Kifurushi cha bando cha mwezi.

DK200 (TTCL-TTCL) + DK25 (Mitandao yote) + SMS250 + GB4 = 5000/=
Hii nzuri kiasi chake na mtandao huku Msaginya unasoma vizuri tu wa TTCL, ngoja nirudi nyumbani.!
 
Usipende kukurupuka ndugu fanya tafit....

Mambo mengine CCM sio mchawi.....

Piga *148*30*35#

Ila wamepunguza GB toka 7 mpaka 5
Mkuu, ndio maana nikasema sitaki kuamini. mabadiliko kama hayo ingependeza wangetuma sms kwa wateja kuwajulisha.
 
Hawa ttcl wameanza upuuzi..internet yao ipo slow,,na bado wameendelea kupunguza MB..sasa wasubiri kuzikwa rasmi
Hili pia ni tatizo. Mara ya kwanza nilifikiri ni kifaa changu kumbe ni wao.

Walianza vizuri sana.. Ila naona wameanza kulewa sifa.
 
Aisee
"Bandika bandua" ??
Ngum kumeza
 
Back
Top Bottom