Recent content by Mamatau

  1. M

    Majambazi watano wauawa jijini Dar; Tabata

    Ni Kheri ungekaa kimya kwani huna mpya!!!!!!!!!!!!!!!!
  2. M

    Anguko la CHADEMA sasa ni dhahiri

    Zitto Kabwe ni mmoja wa wenye malengo binafsi. Amejiweka informer wa CCM na sasa anaihujumu bila aibu. Laaana za CCM zitammaliza.
  3. M

    Mawaziri watakaotoswa na JK kuasi chama

    Nionavyo mimi wamechelewa:rockon:
  4. M

    Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

    Kama haya yalijulikana ilikuwaje baada ya maziko akawa mwanafamilia ya Mwl.?
  5. M

    Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

    Ina maana aliamua kumsaliti baada ya kumuweka madarakani akiwa hajulikani?
  6. M

    Nbc yawa bank ya kiislamu

    Tusikaribishe dhana ya udini pasipostahiki!
  7. M

    Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki

    Hili nalo ni swali na linahitaji majibu!
  8. M

    Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki

    Itabidi Lowassa akirudi toka Ujerumani akamatwe nae aingie Lupango kwa kutoa rushwa akiwa nje ya nchi badala ya kusguhulikia ugojwa unaomsumbua hata kuamua kwenda kutibiwa kimya kimya!!!
  9. M

    Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki

    Ni hakika Lowassa kaumbuka yeye na mwanawe!!! Itabidi Takukuru iwaunganishe kwenye kesi ya hao waliokamatwa!! Na Sioi aenguliwe kwa kutumia rushwa!!
  10. M

    Rais amteua Bi Amina Said Mrisho kuwa Kamishna wa Sensa ya Mwaka 2012

    Pinda anahusika na akaamua kumuweka mtu wake aitwaye Paul Kimiti ili wale vizuri na JK akaiona hiyo akamtosa ila bado hajakubali sijui itakuwaje. Tusubiri tuone!
  11. M

    Rais amteua Bi Amina Said Mrisho kuwa Kamishna wa Sensa ya Mwaka 2012

    Hana habari huyo anaamua kuropoka tuu kwa kutokujua. Habari ndio hiyo na mwenzio ameshaula!
  12. M

    Rais amteua Bi Amina Said Mrisho kuwa Kamishna wa Sensa ya Mwaka 2012

    wa Kwa hili nakuunga mkono kwani mama huyu mimi namfahamu vyema!! Watu watasema mengi ila kwa kazi hii hakuna anaemshinda Bi Amina. Mi Mtakwimu, Mtaalamu wa Komputa na mwana hisabati. sasa mtamkamatia wapi? Hii ni sensa yake ya tatu kushiriki katika uchambuzi. Muwe mnatafuta CV za watu sahihi...
  13. M

    Mwl mrundi anyanyasa watz shinyanga sec.

    Kinachosubiriwa ha hao wa TZ washinyaka kumfungia ofisi ni kipi? hawajawahi kusikia Mkurugenzi mmoja kule Muhimbili alivyofanya na madaktari akatimuliwa ofisini na bila shaka nchini pia?
  14. M

    Ugonjwa wa Mwakyembe: JK abebeshwa zigo!

    Kweli huu mzigo si wake na wanaosubiri tamko watasubiri mpaka kiama. Mwakamyembe analo faili la ugonjwa wake wote ambalo kapewa na Madaktari wa Apollo India na alishirikishwa katika hatua zote za uchunguzi huko india kwani ndio utaratibu wa hospitali ya apollo. Baada ya kupata uhakika huo kuwa...
  15. M

    Mama Kilango v/s Sophia Simba ndani ya uchaguzi wa UWT...

    Kwa UWT wote hawa wawili Kilango na Simba hawafai kuiongoza. Wanafaa wakaendeleze majigambo nje ya UWT. Kazi yao kubwa ni kuonyeshana ubabe na si kuisaidia Jumuia. Inafaa wengine wajitokeze zaidi na mapema ili tuwafahamu.
Back
Top Bottom