Wee inamana hujui technik za markerting tukiandka wote idadi sawa magazet yatauzika??lazima uwe na ushawish utakao mcovice customer awe atracted ni gazeti gani lenye habr nzur
Mleta mada inaweza ikawa ni mteja wa twiga bado hajasurrender kwa dangote subr utamsoma tz itakuja kuwa dangote peke yake huyu jamaa anahistoria akishaingia sokoni huwa ni balaa viwanda vingne vyote ni chali
Ajira zipo na kuna mipango kibao inakuja kuna company moja ya airline inataka kufunguliwa ila kutkana na wabongo wanatnguliza rushwa mbele hhuyu mwekezaji anachlweshewa licence kwa kwa sababu ya wachache wanatka kitu kidg ili apewe kibali sasa ndo unakuja watu wanangaika ajira kwa sababu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.