Recent content by Mamamli

  1. M

    Uhakiki wa vyeti: Watumishi 3,600 hatihati kukosa mishahara Pwani

    Ni bora wahakiki sisi wenye masters zetu tupo mtaani hakika mungu amuachi mja wake go go magu
  2. M

    Natafuta kazi ya udereva

    Daladala unweza?unitafute nina daldala zangu madreva hawaleti hesabu fanya mpngo unitfye
  3. M

    Magazeti ya Tanzania na takwimu za wakuu wa Wilaya, ndio maana serikali huyafungia

    Wee inamana hujui technik za markerting tukiandka wote idadi sawa magazet yatauzika??lazima uwe na ushawish utakao mcovice customer awe atracted ni gazeti gani lenye habr nzur
  4. M

    Dangote: Ni laana au hasara kwa wanaomfuata?

    Mleta mada inaweza ikawa ni mteja wa twiga bado hajasurrender kwa dangote subr utamsoma tz itakuja kuwa dangote peke yake huyu jamaa anahistoria akishaingia sokoni huwa ni balaa viwanda vingne vyote ni chali
  5. M

    Msaada kwa anayejua chuo kinachofundisha Air ticketing kwa Dar es Salaam

    Ajira zipo na kuna mipango kibao inakuja kuna company moja ya airline inataka kufunguliwa ila kutkana na wabongo wanatnguliza rushwa mbele hhuyu mwekezaji anachlweshewa licence kwa kwa sababu ya wachache wanatka kitu kidg ili apewe kibali sasa ndo unakuja watu wanangaika ajira kwa sababu ya...
  6. M

    Plot4Sale Viwanja NHC Kigamboni

    Kwqa hivyo 20 kwa 20 itakuwa bei gani mdau
  7. M

    Kuchukua Coordinates za eneo lako au unalotaka kulimiliki

    Kabsa mkuu mungu ndo mwenye kumuumbua mtu..mim kiwanja changu ni 20 kwa 15 na kipo goba kinzudi usukumani na hakijapimwa..hapo utanifanyia bei gani
  8. M

    Investiment opportunity meeting

    But according to de brief explanation i saw the up there it resembling as refaro...
  9. M

    Kuanzia leo situmii tena kondomu, nitaenda dry hadi mwisho

    Uamuzi wa kipepo huuu...kuna pepo limekuteka akili kafanyiwe maombezi
  10. M

    Kwa maendeleo haya, wachaga wanastahili pongezi

    Kusema kweli nimejifunza mengi sana kupitia kwa wachaga kwa kweli wanjituma
  11. M

    Serikali ya Tanzania kuingiza nchini ndege 2 za kisasa kutoka Canada ndani ya siku 60

    Naskia na wengne hawa wapo njiani www.flyuaatz.com
  12. M

    Serikali ya Tanzania kuingiza nchini ndege 2 za kisasa kutoka Canada ndani ya siku 60

    Website yao www.flyuaatz.com soon naskia na wao wanakuja...mwenye full detail...plz
Back
Top Bottom