Magazeti ya Tanzania na takwimu za wakuu wa Wilaya, ndio maana serikali huyafungia

Mkuu nimeshangazwa sana kuona magazeti yakitofautiana idadi ya waliotemwa.
1.kuna idadi ya waliotemwa kwa ujumla wao
2.kuna idadi waliotemwa ambao specifically ni wateule wa jk.
Kumbuka kuna madc wengine waliaanzia awamu ya3 ya mkapa,lakini walikuwepo adi awamu ya NNE.
 
Tatizo la Tanzania ni kuanzia somo la Hesabu msingi,basic mathematics na Applied mathematics na huko mbele Pure Mathematics watu wengi walikimbia na kusoma masomo ya miandiko tuu ukihusisha kujumlisha na kutoa tuu ni shida tuu...
 
Na wewe jana ulitupotosha RAIS MAGUFULI NA MFUMO KRISTU alipost assadsyria. Leo tena nakuta kundi la WAMASAI mjini wanalalamika hakuna hata mkuu wa wilaya mmoja Mmasai. Wote wapotoshaji sio Magazeti tu!!!
 
Waandishi wetu wa habari wamejibweteka hawafanyi uchunguzi ndio maana waandishi wa Dira na Mawio wapo mahakamani.

Sasa tazama Jana kumetolewa list ya wakuu wa wilaya 139,lakini nipashe lina idadi yake ya walioachwa,mwananchi pia,jambo Leo pia,Mtanzania pia,Tanzania daima karibia magazeti yote yana takwimu tofauti kuonesha hawako makini kabisa

Vingapi watatupotosha ikiwa tayari hapa kitakwimu wameshatupotosha sisi Walaji wa habari

Ndio mana Nape anawapiga rungu la kichwa.
IMG_20160627_050450.jpg
IMG_20160627_051130.jpg
IMG_20160627_051051.jpg
IMG_20160627_051008.jpg
IMG_20160627_050927.jpg
IMG_20160627_050852.jpg
IMG_20160627_050709.jpg
IMG_20160627_050620.jpg
Tanzania hakuna waandishi wa habari,kuna wababaishaji tu.Hela ya kununua gazeti ni bora unywe juisi ujenge mwili.
 
Hata mm Leo nimechoka akili kipindi nasikiliza RFA asubuhi, mpaka nikajiuliza hivi siku hiz Tanzania ina vijinchi vidogo vidogo vingapi
 
Wee inamana hujui technik za markerting tukiandka wote idadi sawa magazet yatauzika??lazima uwe na ushawish utakao mcovice customer awe atracted ni gazeti gani lenye habr nzur
 
bado mwanaHALISI utaskia "magufuli apiga chini maDC 2000 wa JK" hahaha unachezea makanjanja ww a.k.a kubenea type
 
Ndugu zangu wa jf wenye taarifa za uhakika naombeni kidogo mnisaidie kwa maana haya magazeti yananichanganya.. Celew niamin lipi.. Picha inajieleza
1467016154361.jpg
 
Inategemea kila gaxeti linachambua hao wakuu wa wilaya kwa angle tofauti
 
98b51fd0425f42846b12c1bf3cfd61fd.jpg


Wakuu naomba kuileta hii hoja mezani mnisaidie Haya magazeti ni ya Leo au ni fitna za watu ili kugombanisha Haya magazeti kwa maana nimeona yanatofautiana habari sana naomba msaada waungwana hapa lipi linalosemakweli au tusubiri taarifa tokea ikulu?
 
Back
Top Bottom