Magufuli aagiza wataalam wa ICT kutokea Rwanda

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
32,375
50,765
Shirika la mapato Tanzania (TRA) linapoteza hela nyingi sana kwa ajili ya mapungufu ya mfumo wanaoutumia leo. Sasa rais wao ameona ili kurekebisha hilo, itabidi awaagize wataalam wa ICT kutokea Rwanda waje na maujuzi yao.

Ndugu zetu Wabongo huwa wanalipuka sana wakiona makampuni yao yanaagiza wafanyi kazi kutokea nchi jirani kama Kenya. Wenyewe wanakua hawajui sababu za Mtanzania mmiliki wa kampuni anakubali kuingia gharama ya kulipia Mkenya/Mnyarwanda/Mganda kibali cha kazi, gharama za nauli ya ndege, gharama za hoteli na pia ada ya kazi licha ya kuwepo Wabongo ambao wanajishebedua kuwa na uwezo wa kufanya hizo kazi.

Ni swali la msingi la kujiuliza na mjirekebishe, muache chuki zenu dhidi ya Waafrika wanaoalikwa kuja kufanya kazi zenu. Wenye makampuni wanaagiza kutoka nje kwa sababu za msingi tu. Leo hii hata rais wenu kaagiza kutoka kwa nchi jirani. Najua mtaibuka na kuanza kulialia, lakini nashauri mkae na kujiuliza wenyewe.

Taarifa kamili hii hapa
New tax collection system to curb theft

Barbarosa
 
Kumbuka ktk list yako uliotuma Rwanda haikuepo .....lakini wameonekana wanaweza saidia iyo kazi. ....my conclusion ni vyema magu alivyokubali kuwaita wasaidie sababu mwisho wa siku tunahitaji mambo yakaesawa tu.....
 
Wataalamu hawa kwenye ICT nawafananisha na wahasibu....yaani failures wengi ndio walikimbilia huku...Wengi ni products za IFM na CBE.

Ila kuna baadhi wako vizuri kama vile wamiliki wa JF ambao walirokea DIT.

Mtu anaitwa kwenye mantainance ya Computer anaiba vifaa..
 
Wataalamu hawa kwenye ICT nawafananisha na wahasibu....yaani failures wengi ndio walikimbilia huku...Wengi ni products za IFM na CBE.

Ila kuna baadhi wako vizuri kama vile wamiliki wa JF ambao walirokea DIT.

Mtu anaitwa kwenye mantainance ya Computer anaiba vifaa..
una hasira na mtu mmoja naona ukaamua kuwajumlisha wote
 
Wataalamu hawa kwenye ICT nawafananisha na wahasibu....yaani failures wengi ndio walikimbilia huku...Wengi ni products za IFM na CBE.

Ila kuna baadhi wako vizuri kama vile wamiliki wa JF ambao walirokea DIT.

Mtu anaitwa kwenye mantainance ya Computer anaiba vifaa..

Hapo sio issue na failure, tatizo ni kwamba Wabongo mpo wadhaifu na wazembe sana kwenye suala la kujituma, kuwajibika na ufuatiliaji wa miradi. Kwa mgeni yeyote aliyewahi kusimamia mradi Bongo atakuambia hilo. Mnatamausha hadi mhusika anahisi kudondokwa na machozi.

Vikao hamhudhurii, na mkihudhuria mnachelewa huku mumejaa vijisababu vya kiajabu ajabu. Eti nilichelewa maana ilibidi niwahi harusi, like seriously HARUSI... yaani harusi ni nini hicho. Mradi unakuhitaji, sote tunakuhitaji halafu unategemea tukuelewe kisa ulihudhuria harusi.

Wabongo hamna neno "deadline", tarehe inawadia, kiongozi wa mradi anakua na presha kibao, halali, anawaza maana tarehe ya kukabidhi mradi inafikia, lakini watendaji Wabongo hawaonekani kujali. Kwao ni kawaida tu "eti mambo tunafanya kibongobongo tu, bana usituletee mambo yenu ya Kikenya huku". Halafu cha kushangaza, mradi unapitiliza siku, kiongozi mgeni anakaa mkao wa kuadhibiwa, anasubiri adhabu muda wowote, lakini wapi kumbe hata mteja alijua mradi utachelewa maana ni kawaida.

Hamchukulii mambo serious, kila kitu kawaida, mnaishi kwa mazoea. Hamtaki mpelekeshwe, hamtaki kuajibishwa, hamtaki kuulizwa mbona ikawa hivi. Na ndio wengi mnalialia sana maana Magufuli anashtukiza sana, hamuwezi kutenda bila kushtukizwa shtukizwa na rais wa nchi.
 
Hapo sio issue na failure, tatizo ni kwamba Wabongo mpo wadhaifu na wazembe sana kwenye suala la kujituma, kuwajibika na ufuatiliaji wa miradi. Kwa mgeni yeyote aliyewahi kusimamia mradi Bongo atakuambia hilo. Mnatamausha hadi mhusika anahisi kudondokwa na machozi.

Vikao hamhudhurii, na mkihudhuria mnachelewa huku mumejaa vijisababu vya kiajabu ajabu. Eti nilichelewa maana ilibidi niwahi harusi, like seriously HARUSI... yaani harusi ni nini hicho. Mradi unakuhitaji, sote tunakuhitaji halafu unategemea tukuelewe kisa ulihudhuria harusi.

Wabongo hamna neno "deadline", tarehe inawadia, kiongozi wa mradi anakua na presha kibao, halali, anawaza maana tarehe ya kukabidhi mradi inafikia, lakini watendaji Wabongo hawaonekani kujali. Kwao ni kawaida tu "eti mambo tunafanya kibongobongo tu, bana usituletee mambo yenu ya Kikenya huku". Halafu cha kushangaza, mradi unapitiliza siku, kiongozi mgeni anakaa mkao wa kuadhibiwa, anasubiri adhabu muda wowote, lakini wapi kumbe hata mteja alijua mradi utachelewa maana ni kawaida.

Hamchukulii mambo serious, kila kitu kawaida, mnaishi kwa mazoea. Hamtaki mpelekeshwe, hamtaki kuajibishwa, hamtaki kuulizwa mbona ikawa hivi. Na ndio wengi mnalialia sana maana Magufuli anashtukiza sana, hamuwezi kutenda bila kushtukizwa shtukizwa na rais wa nchi.
Hawana tofauti na nyang'au ambao kazi yao ni kuongea na kuandika lakini weledi ni hewa
 
Hawana tofauti na nyang'au ambao kazi yao ni kuongea na kuandika lakini weledi ni hewa

kwa jinsi nchi ilivyo ndogo na bila madini, tungekua watu wenye maneno mengi kama Watanzania tungekua maskini kama mlivyo.
 
Aliyekuambia watanzania maskini Nani ....hivi TU dharau ..tukiwaingiza ndani

Wacha maneno mengi Mswahili piga kazi, nilikua simuelewi Magufuli kwanini kawaziba midomo lakini nikikumbuka mlivyo watu wa vijisababu, maneno mengi na matendo zero, nimeanza kumuelewa rais wenu. Yeye kasema siasa hadi miaka mitano iishe, tena kazima bunge live hadi wabunge wanazibana midomo ndani ya bunge.

Myanyooka tu, nina uhakika ndani ya miaka michache mtakua mumeanza kubadilika na kujua umuhuimu wa kujituma.
 
Hapo sio issue na failure, tatizo ni kwamba Wabongo mpo wadhaifu na wazembe sana kwenye suala la kujituma, kuwajibika na ufuatiliaji wa miradi. Kwa mgeni yeyote aliyewahi kusimamia mradi Bongo atakuambia hilo. Mnatamausha hadi mhusika anahisi kudondokwa na machozi.

Vikao hamhudhurii, na mkihudhuria mnachelewa huku mumejaa vijisababu vya kiajabu ajabu. Eti nilichelewa maana ilibidi niwahi harusi, like seriously HARUSI... yaani harusi ni nini hicho. Mradi unakuhitaji, sote tunakuhitaji halafu unategemea tukuelewe kisa ulihudhuria harusi.

Wabongo hamna neno "deadline", tarehe inawadia, kiongozi wa mradi anakua na presha kibao, halali, anawaza maana tarehe ya kukabidhi mradi inafikia, lakini watendaji Wabongo hawaonekani kujali. Kwao ni kawaida tu "eti mambo tunafanya kibongobongo tu, bana usituletee mambo yenu ya Kikenya huku". Halafu cha kushangaza, mradi unapitiliza siku, kiongozi mgeni anakaa mkao wa kuadhibiwa, anasubiri adhabu muda wowote, lakini wapi kumbe hata mteja alijua mradi utachelewa maana ni kawaida.

Hamchukulii mambo serious, kila kitu kawaida, mnaishi kwa mazoea. Hamtaki mpelekeshwe, hamtaki kuajibishwa, hamtaki kuulizwa mbona ikawa hivi. Na ndio wengi mnalialia sana maana Magufuli anashtukiza sana, hamuwezi kutenda bila kushtukizwa shtukizwa na rais wa nchi.
Hahaha. Mkuu nawajua wakenya, mnajua kingereza tu nyie, mnaongea sana ila weledi hamna,
Hata tukiingia mzigoni tunawamwaga kwa kila kitu,
I am working with Kenyans as we speak..
Maneno mobu output hamna kitu mnapigwa bao hata na Sudanese na Ugandans..
Nyie ongeeni tu kingereza.!!
 
Hahaha. Mkuu nawajua wakenya, mnajua kingereza tu nyie, mnaongea sana ila weledi hamna,
Hata tukiingia mzigoni tunawamwaga kwa kila kitu,
I am working with Kenyans as we speak..
Maneno mobu output hamna kitu mnapigwa bao hata na Sudanese na Ugandans..
Nyie ongeeni tu kingereza.!!

Tetete!! Hao Wakenya mumewabadilisha nyie tu, hadi wakawa wazembe. Mimi ilinichukua miezi michache nikajikuta nazembea. Nilijikuta mimi mwenyewe ndiye nabaki ofisini na kufanya kazi hadi usiku wa manane naandaa ripoti halafu wenzangu Wabongo walishakwenda vilabuni kula bata. Wakati mimi nina presha kibao, naogopa deadline maana Kenya huwa tunawajibishwa kishenzi ukichelewesha.

Sasa deadline inafikia halafu hamna kinachotendeka, kumbe kawaida tu, mradi kuchelewa sio issue kubwa Bongo. Taratibu nikaanza kubadilika, mtu niliyekua nakesha ofisini nikijaribu kukimbiza issue zikamilike najikuta sasa nakesha kwenye bar nakunywa kwa raha zangu.

Wakenya wakija kufanya kazi Bongo huwa kama likizo vile, yaani kula bata full bila wasiwasi.
 
Shirika la mapato Tanzania (TRA) linapoteza hela nyingi sana kwa ajili ya mapungufu ya mfumo wanaoutumia leo. Sasa rais wao ameona ili kurekebisha hilo, itabidi awaagize wataalam wa ICT kutokea Rwanda waje na maujuzi yao.

Ndugu zetu Wabongo huwa wanalipuka sana wakiona makampuni yao yanaagiza wafanyi kazi kutokea nchi jirani kama Kenya. Wenyewe wanakua hawajui sababu za Mtanzania mmiliki wa kampuni anakubali kuingia gharama ya kulipia Mkenya/Mnyarwanda/Mganda kibali cha kazi, gharama za nauli ya ndege, gharama za hoteli na pia ada ya kazi licha ya kuwepo Wabongo ambao wanajishebedua kuwa na uwezo wa kufanya hizo kazi.

Ni swali la msingi la kujiuliza na mjirekebishe, muache chuki zenu dhidi ya Waafrika wanaoalikwa kuja kufanya kazi zenu. Wenye makampuni wanaagiza kutoka nje kwa sababu za msingi tu. Leo hii hata rais wenu kaagiza kutoka kwa nchi jirani. Najua mtaibuka na kuanza kulialia, lakini nashauri mkae na kujiuliza wenyewe.

Taarifa kamili hii hapa
New tax collection system to curb theft

Barbarosa
so?
 
kuwashutumu ICT wa TZ sidhani kama ni sahihi,kwasababu hao wanafanya kazi kulingana na mifumo ya inchi ilivyo hawawezi kufanya kadiri ya taaluma zao bali watafanya kile wanasiasa wanachotaka kifanyike.mfano leo hii wanasiasa wetu wanasema hata ukinunua fungu la mchicha udai electronic lisit wakati kiuhakisia mama muuza mchicha TRA hawawezi mpatia hiyo mashine.tumekua na wanataaluma wengi ambao hapa inchini wanaonekana si lolote ila waendapo inchi za wenzetu wamekua watendaji wazuri.najua hao watalaam wa ICT kutoka rwanda kwakua wameitwa na mkuu wakaya watakua huru kufanya taaluma iwelekezavyo.ni mtazamo wangu tu
 
Back
Top Bottom