Recent content by Malipo kwamungu

  1. M

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    muungano huu wa kulazimisha tununue sukari ya upande mmoja,tutumie Zantel huku? tuangalie jamani tusilazimishane kutumia bidhaa za huko! !chonde chonde
  2. M

    Trafiki na ubambikaji wa makosa ya barabarani

    jamani wenye mamlaka wasikie vilio vyetu,ukiendesha gari ya kirai unashida!mimi nilibambikiwa kupita kwenye zebra wakati waenda kwa miguu wanavuka ! nilitakiwa kulipa elf 30 jamani muwe na huruma, Tz tu polisi ni sehemu ya kukusanya pato la serikali
  3. M

    Sakata la IMMMA: Rais wa TLS, Tundu Lissu atoa maazimio ya Baraza la Uongozi. Wapanga kugoma siku mbili

    Wakuu naomba kuuliza kosa la lissu kuwa chadema,au mwanasheria? hamuoni hata jambo 1 la kweli?
  4. M

    Moshi hongereni kwa usafi; abiria aaibika

    Wanafagia mpaka "KICHUMINI" NI NENO LA kichaga
  5. M

    Wasifu wa Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe

    SIYO yuko mlangoni?... teh teh teh!
  6. M

    Simba SC v Young Africans SC

    Simba imeshachukuliwa na wahindi je? itabadilishwa jina kuwa..... 'Singida united?' aah maswali machache tu povu linakutoka la nini?
  7. M

    Kutembea ukiwa usingizini

    Kihospitali wanahusishasha na ugonjwa wa kifafa cha usingizi kwahiyo mtu anayesumbuliwa na hali hiyo anashauriwa kumuona tabibu wa magonjwa ya ndani
  8. M

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Tuwaombee wasiwe na umoja hata siku moja! Tuwasifie kwa kila ujinga wanaofanya tutakuwa tunawafunga tu! zamani marehemu Mzee kisimba aliwambia wale wana "umoja madhubuti"
  9. M

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Niliandika kwenu kuuliza kuhusu king'amuzi changu cha startime hadi leo hakuna jibu ! tabia zimeongezeka matangazo yanakatika kwa siku 2 inaandika "No sginal" ghafla inarudi 02035198984 msaada p/s
  10. M

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    02035198984 sipati tbc zote,sipati chanel 10, nafikilia kuhama mnisaidie wajemeni
  11. M

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Tafadhali nisaidie huwa na nyolewa nywele na mavuzi usiku na kuchanjwa chale,wanaingia vipi ndani nakunifanyia vitu hivyo?
  12. M

    Pikipiki na ajali, nini kifanyike?

    Ugoro na viroba "secrete"
  13. M

    Pikipiki na ajali, nini kifanyike?

    Ugoro na viroba "secrete"
  14. M

    Apata kipigo kwa kuwaita wenzake chura

    Teh teh! kumbe Chura ni wamatopeni! wako wengi hasa wasambaa!
Back
Top Bottom