Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Tuwaombee wasiwe na umoja hata siku moja! Tuwasifie kwa kila ujinga wanaofanya tutakuwa tunawafunga tu! zamani marehemu Mzee kisimba aliwambia wale wana "umoja madhubuti"
 
Hawa jamaa Azam hawaonyeshi mpira. Je kuna kituo kingine cha tv kilichotangaza kuonyesha mechi ya NGAO YA JAMII???
 
Back
Top Bottom