makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,547
- 82,330
Mapenzi tukiweka kando, hakuna km yanga hapa tz, wale vijana wajangwani ni hatari wanaugonga hasa.
Yanga bila refa ni Sawa na Rais bila ulinziSawa mkuu..
Mikia FC...
da Una roho ngumuYanga bila refa ni Sawa na Rais bila ulinzi
Umebaki wewe tu hata Aveva na Hans Pope wamekubali.Yanga bila refa ni Sawa na Rais bila ulinzi
Yaani hata kama elimu ingetolewa bure mpaka chuo Kikuyu wajinga wangekuwepo tuYanga bila refa ni Sawa na Rais bila ulinzi
we acha tuu...........Yaani hata kama elimu ingetolewa bure mpaka chuo Kikuyu wajinga wangekuwepo tu
Yaani hata kama elimu ingetolewa bure mpaka chuo Kikuyu wajinga wangekuwepo tu
Ukiangalia usajili wa Mikia FC magazetini, unaweza kukimbia nchi...njoo uwanjani sasa...oooh wananunua mechi blah blah blahsisi tunaleta vifaa tu Jangwani. nyie mikia FC kelele......