Moshi hongereni kwa usafi; abiria aaibika

Moshi hongereni kwa usafi; abiria aaibika

Mkuu Dar yetu ni jipu, kila kona mifereji imejaa maji machafu hadi huwa najiuliza wahusika wako wapi?
Japo jukumu la usafi ni letu wote
Makonda akiamrisha watu mkafanye usafi mnadai ni kazi ya serikali mnasumbuliwa.
Watanzania ni watu wa ajabu sana,hivi kusafisha mazingira yenu mpaka msimamiwe na serikali wakati wahusika ni nyie wenyewe kwanza.Umesoma jinsi hao kina mama walivyopiga kelele kama wameona mwizi hawataki uchafu kwenye mji wao,je wangebweteka na kuwaachia wahusika wangekua wapi leo
 
e60f32159ecae6199eac76b352d4faa5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo ni road ya kuelekea shant town au international school moshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda akiamrisha watu mkafanye usafi mnadai ni kazi ya serikali mnasumbuliwa.
Watanzania ni watu wa ajabu sana,hivi kusafisha mazingira yenu mpaka msimamiwe na serikali wakati wahusika ni nyie wenyewe kwanza.Umesoma jinsi hao kina mama walivyopiga kelele kama wameona mwizi hawataki uchafu kwenye mji wao,je wangebweteka na kuwaachia wahusika wangekua wapi leo
Acha kupiga kelele CCM imeshindwa kazi.
 
Back
Top Bottom