... But for which time zone?Mkuu umepost 04:20hrs , ...
6-0
4-1
4-1
5-0
Watabadilishana uenyekiti wa klabu lakini watastaafu na madeni ya vipigo hivyo!
Mtabaki na hayo hayo, kufungwa mmefungwa, yanga wamechukua kombe, hamna nafasi ya kushiriki michezo ya kimataifa mwakani, mmebaki kuandika mambao ambayo hata hayawasaidii
... But for which time zone?
mkuu kiukweli bila unafiki sikuona mpira wa maana aliocheza Simba kwa jana,kisaikolojia tu walionekana kama hawana raha hata kabla ya mechi,kila mchezaji alikuwa anacheza kivyake tena bila kuonyesha juhudi,ni sawa pia Niyonzima naye alikuwa kama wachezaji wa Simba kwa jana
Mtabaki na hayo hayo, kufungwa mmefungwa, yanga wamechukua kombe, hamna nafasi ya kushiriki michezo ya kimataifa mwakani, mmebaki kuandika mambao ambayo hata hayawasaidii
Hivi wenyewe wamepata sh ngapi kweli
Mkuu, sio watu wote wanapost humu siku zote wakiwa EA45 degrees East, GMT+3 viz. East African Time (EAT); any other question? Possibly NIL.