Tutakutana nae Azam media, umri umesogea amestaafu sasa ila Azam anakuja kufanya kwa mkataba kama Mkurugenzi wa Azam media, tutegemee makubwa kutoka kwake kama alivofanya Tiddo Mhando
Mimi nina gari aina ya carina Si, baadhi ya watu wamekuwa wakinichanganya kwamba O/D ikiwa imedisplay O/D OFF ndo iko ON na ikiwa haijadisplay ndo iko off hapa ndo wananichanganya kabisa, naomba msaada mkuu
Nenda pale Buguruni Anglican Health centre iko malapa near St John University, pale wana madaktari wazuri sana, pale huwa natibiwa sana pale, wako vizuri wako KUHUDUMA na sio KIBIASHARA, kuna Dr mmoja pale ni mzuri sana, ni kijana mdogo ana almost 30yr yuko vizuri sanaaa anaitwa Dr Isack, try to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.