sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
- Thread starter
- #21
sexologist namsubiri akomenti kwa masai dada ili nipate pakuanzia.
Muite kwa ile staili yako..
sexologist namsubiri akomenti kwa masai dada ili nipate pakuanzia.
Muite kwa ile staili yako..
nimekuja mzima mzima
SI UNANIJUA MZEE WA WEEKEND
nipo katikati kabisa ya mji napeleka mzigo wa tikiti bosi mkali
ikifika saa 10 tutasomana sana pande za huku
Muite kwa ile staili yako..
Hahaha sipati picha Muzee ya Wikienda unauza tikiti... Halafu ukute bosi ana sura ya yule waziri wa mbugani... Sielewi akikasirika..
Staili gani? tuwafundishe wana-JF.
Mbona huyo rafiki yako unayedai umetoka naye kwenda Cinema ninaye hapa Guest..... utanieleza uko wapi..na uko na nani....
hiyo inaitwa saresare maua, asiyejua kuchagua
natafuta ela like hell
nipo njiani naenda kumfungia mtu dish
(imagne nipo juu ya ngazi nafunga dish)
tatizo ni wakoloni wanazingua
Aliyenunua cheni katoa hela bandia na alieuza cheni katoa cheni Bandia. Ngoma suluhu hio.. Droo ya moja moja.
Honey Faith katika tafsiri isiyo rasmi:Kiingereza hiki jamani??Hata sijaelewa chochote