Jimbo la Arusha mjini LIPO WAZI 2015.

Jimbo la Arusha mjini LIPO WAZI 2015.

Dadangu mrembo Catherine Magige atachukua jimbo 2015. Anafanya vitu vizuri vya maendeleo

huyo hata aje na atugaiye pesa pamoja mwili wake,sisi wa A.city tunakula zote ila kura ni kwa chadema milele.
 
Tafiti yangu ya haraka niliyoifanya nikiwa arusha imenipa mjumuiko wa mtazamo wa wananchi walio wengi Arusha kuwa wamechoka uwakilishi uliopo madarakani na hauna manufaa kwa kwa namna yoyote kulinganisha na matumaini na ahadi hewa walizopewa na kiongozi aliyepo sasa.

Jimbo lipo wazi na mwakilishi mpya anahitajika 2015.

Kidumu chama cha mapinduzi

Wanasiasa wote sawa tu. Kwani JK kamaliza zile ahadi zake lukuki? Tukubali tukatae sisi wote ni wadanganyikia, ila kati ya hao wadanganyika wapo wanaoneemeka na hali hii na wapo wanaoteseka kwa ujumla wanaoumia ni sisi wananchi.
 
Mtakuja aibika nyie magamba.
Hakuna mtu atagusa jimbo la Arusha 2015 hata nyie mnajua. Ukiweka pusi na Matilida atapewa pusi kura!
 
Tafiti yangu ya haraka niliyoifanya nikiwa arusha imenipa mjumuiko wa mtazamo wa wananchi walio wengi Arusha kuwa wamechoka uwakilishi uliopo madarakani na hauna manufaa kwa kwa namna yoyote kulinganisha na matumaini na ahadi hewa walizopewa na kiongozi aliyepo sasa.

Jimbo lipo wazi na mwakilishi mpya anahitajika 2015.

Kidumu chama cha mapinduzi

lema mfalme.jpg

Hapo vipi? sema hapo SAWA na ukweli utabaki kuwa hivyo.
 
Hata tundu lisu watu wanajilaumu sasa huko singida anakiherere na maneno mengi bila vitendo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Tafiti yangu ya haraka niliyoifanya nikiwa arusha imenipa mjumuiko wa mtazamo wa wananchi walio wengi Arusha kuwa wamechoka uwakilishi uliopo madarakani na hauna manufaa kwa kwa namna yoyote kulinganisha na matumaini na ahadi hewa walizopewa na kiongozi aliyepo sasa.

Jimbo lipo wazi na mwakilishi mpya anahitajika 2015.

Kidumu chama cha mapinduzi

'Nilitegemea mwishoni kungekuwa na sahihi ya tume ya uchaguzi'
 
Hata tundu lisu watu wanajilaumu sasa huko singida anakiherere na maneno mengi bila vitendo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tundu naye ni wale wale. aliahidi neema kibao kwa wanasingida mashariki. lakini mpaka kesho hakuna ahadi hata moja iliyotekelezwa.
 
stroke

Kuwa member mwenye hekima angalau ya kuwadanganya Watanganyika fisadi wee!

Nakuuliza kama haujui hata kusoma picha hata hauoni Mkuu?
Kawaambie waliokutuma ya kwamba tupo wazi wajinga weeee!
 
Last edited by a moderator:
stroke

Kuwa member mwenye hekima angalau ya kuwadanganya Watanganyika fisadi wee!

Nakuuliza kama haujui hata kusoma picha hata hauoni Mkuu?
Kawaambie waliokutuma ya kwamba tupo wazi wajinga weeee!
 
Last edited by a moderator:
Arusha A CITY au mtaa wa Arusha Ilala bungoni?
 
Tafiti yangu ya haraka niliyoifanya nikiwa arusha imenipa mjumuiko wa mtazamo wa wananchi walio wengi Arusha kuwa wamechoka uwakilishi uliopo madarakani na hauna manufaa kwa kwa namna yoyote kulinganisha na matumaini na ahadi hewa walizopewa na kiongozi aliyepo sasa.

Jimbo lipo wazi na mwakilishi mpya anahitajika 2015.

Kidumu chama cha mapinduzi



Hivi 2015 majimbo yote si huwa yako wazi na mtu yoyote yupo huru kugombea au kuna wanaonendelea kwa wabunge milele? Hivi wewe ni kilaza wa product ya div 5 nn unaleta uzi usio na mashiko kama huu...mod delete huu upuuzi hapa unajaza tu server.
 
Back
Top Bottom