Recent content by Makomu

  1. M

    What was the most painful experience in your love

    well said inauma, bt we have 2 accept 2!! saa nyingine dada zetu haziwatoshi!
  2. M

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    tuna safari ndefu ya kuendelea, kama tunaendekeza chaguzi tu kila siku pasipo kuwaza maendeleo, mahakama zetu zina watu hovyo wasiojali wala kuthamini kodi za wavuja jasho wa Tanzania. wangetoa adhabu nyingine mbadala
  3. M

    Wabunge wa CCM wakataa Kuunga Mkono hoja ya Kujadili Mgomo wa Madaktari

    kwa hali hii tutakufa tutaisha, hawaoni, hawasikii wala hawaambiliki sasa ni wakati watanzania tuitake serikali ilipe maisha ya ndugu zetu!
  4. M

    Waziri Mkuu awaamuru Madaktari kuripoti kazini Kesho!

    Source TBC waziri mkuu Mizengo P.Pinda amewataka madaktari wote kurejea kazini kesho na kusitisha mgomo mara moja. je hii amri inayotoka pasipo kuwasikiliza madai yao itatekelezeka?????
  5. M

    Siri ya kufukuzwa Wanachuo nje

    ccm ni wachochezi wa migogoro! nani hajui kelele za wanafunzi wa vyuo hivi kama ni ya msingi. vyuo hivi si mali ya ccm ni mali ya umma, sasa umma tuchukue hatua hawa vijana warudishwe mara moja, wengine ni madaktari watarajiwa muhimbili bado miezi michache 2 wamalize kodi zetu zinapuuzwa na...
  6. M

    Muhimbili hakujatulia, graduation yavurugika!

    mzee, unamatatizo ya akili naomba uje Muhimbili tukutibu. huwezi kulaumu bila kujua chanzo huna tofauti na huyo mwenye dharau na majivuno anayeongea amekaa
  7. M

    Muhimbili hakujatulia, graduation yavurugika!

    leo Rais mstaafu Mwinyi alikuwa na wakati mgumu baada ya wanafunzi kugoma kutoka eneo liloandaliwa kwa graduation wakishinikiza i/kurudishwa kwa serikali ya wanafunzi iliofutwa(MUHASSO) ii/kupinga posho za wabunge alisalimika baada ya kuleta magari yaliyosheheni polisi zaidi ya tisa huku...
  8. M

    Waziri wa JK akimbia wanafunzi wa muhimbili

    Katika hali isiyo ya kawaida leo kuanzia majira ya asubuhi wanafunzi wa chuo kikuu Muhimbili wameonekana wakidai kupinga ongezeko la posho ya wabunge kwa 154%. katika maandamano hayo walikuwa wamebeba jumbe mbali mbali zikihoji kitendo cha wagonjwa kukosa madawa, kukosekana hata nguo za kuvua...
  9. M

    Polisi: Maandamano ya Novemba 26 marufuku!

    tutapachimba hii ni nchi yetu si ya all-shababu!
  10. M

    Tamko la kamati kuu ya CHADEMA kuhusu mchakato wa katiba

    thanks, pamoja tutapata tz mpya! viva CDM!!!
  11. M

    Bungeni: Ripoti ya Jairo yawasilishwa, wabunge wachachamaa!

    kamati teule ya bunge imegundua madudu ya kutisha katika wizara ya nishati na madini. Ikiwemo uchangishaji wa mil zaidi ya 418 kusaidia kupitisha bajeti ya wizara ,udhalilishaji wa bunge na matumizi mabavu ya fedha za umma. mapendekezo ya kamati: Jairo awajibishwe Ngeleja naye awajibishwe kwa...
  12. M

    Bungeni: Ripoti ya Jairo yawasilishwa, wabunge wachachamaa!

    kamati teule ya bunge imegundua madudu ya kutisha katika wizara ya nishati na madini. Ikiwemo uchangishaji wa mil zaidi ya 418 kusaidia kupitisha bajeti ya wizara ,udhalilishaji wa bunge na matumizi mabavu ya fedha za umma. mapendekezo ya kamati: Jairo awajibishwe Ngeleja naye awajibishwe kwa...
  13. M

    Msisikitike, kuna njia ingine

    kufanya hivyo ni kuruhusu kupoteza fedha zetu za kodi kwa kazi isiyo na maana. hapa hapa mpaka kieleweke!!!!!
  14. M

    Bunge laimaliza nchi, watanzani hoi ..!

    mamilioni ya watanzania yaendelea kupotea kuwalipa wabunge ambao wanapoteza muda kujadili watu/chama kinachowatoa jasho badala ya kujadili maswala ya msingi ya kitaifa eg muswada wa katiba. Tuwe macho watanzania hawa watu hawathamini lile tulilowatuma nalo huko. Hawajui wajibu wao tena...
  15. M

    TBC hawana aibu!

    naumia kwa kuwa ni kodi yangu.
Back
Top Bottom