Kwanza kabisa ni kuhusu ugumu wa maisha unaozidi kushamiri.:
Tunaomba sura za viongozi wote wa umma zifanane na sura za raia walioko mitaani ambao wengi wanaonekana sura zao kukunjamana na kudumaa ingawa wengine wana umri mdogo,wengi wao wana vigezo vya kuwa watumishi ila kama ujuavyo nchi...
Nimekuwa nikisikia kesi nyingi za hivi,tena wanawake wengi hukimbia na mali za waume zao kwenda kujichimbia nazo kwa hawara yake au mabuzi yake.
Sasa najiuliza kwa nini wanakuwa na akili nyepesi kiasi hicho?
Maana kuyumba kwenyewe kifedha huwa ni suala la miezi kadhaa tu,wanajidhalilisha kiasi...
ilikuwa kama wanashirikiana na wizara kama mradi flani sio wizara 100%, ila tatizo lao wanapiga simu tu badala ya kutuma email au sms hawajui wengine huwa kwenye daladala kelele au sokoni. kama kuna aliyeitwa anijulishe
kuna kazi za database walitoa muda kidogo,ndio wakapiga simu kwa ajili ya interview ukonga,ila sikumuelewa vizuri nilikuwa kwa daladala. sikujua hata ofisi zao huko ukonga ni mahali gani
kama kuna walioitwa wizara ya mambo ya ndani ukonga wanipe link ya majina ,nimepigiwa simu kwenye daladala sasa sikumbuki tena.
nijulisheni.niliomba post ya it wakasema jumanne ila hata eneo silijui
mfahamu jini mahaba kisrani nuksi mikosi na kifungo mwilini mwako!!!!!4/07/2015
imeletwa kwenu na dr. Tamba
huyu na jini mahaba wa aina yake katika majini mahaba wote jini huyu huwa na athari nyingi na za kisasi na vituko visa kwa alie kuwa nae mwilini mwake jini huyu usababisha madhara...
mfahamu jini mahaba kisrani nuksi mikosi na kifungo mwilini mwako!!!!!4/07/2015
imeletwa kwenu na dr. Tamba
huyu na jini mahaba wa aina yake katika majini mahaba wote jini huyu huwa na athari nyingi na za kisasi na vituko visa kwa alie kuwa nae mwilini mwake jini huyu usababisha madhara...
mfahamu jini mahaba kisrani nuksi mikosi na kifungo mwilini mwako!!!!!4/07/2015
imeletwa kwenu na dr. Tamba
huyu na jini mahaba wa aina yake katika majini mahaba wote jini huyu huwa na athari nyingi na za kisasi na vituko visa kwa alie kuwa nae mwilini mwake jini huyu usababisha madhara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.