Nanyimwa penzi na mke wangu

Nanyimwa penzi na mke wangu

Mkuu nipm namba yake, nikusaidie baadhi ya majukumu
 
Bora tu uchanguzi uishe lowasa aibuke kidedea!
 
[h=1]mfahamu jini mahaba kisrani nuksi mikosi na kifungo mwilini mwako!!!!![/h]4/07/2015
imeletwa kwenu na dr. Tamba
huyu na jini mahaba wa aina yake katika majini mahaba wote jini huyu huwa na athari nyingi na za kisasi na vituko visa kwa alie kuwa nae mwilini mwake jini huyu usababisha madhara mbalimbali kwa wakati mmoja mtu akapatwa na matatizo mfululizo jini huyu uharibu uvuruga ufunga na kuteketeza vitu mbali mbali kuteketeza mali maisha ya mtu kutia maradhi mwilini kutesa mtu kumpa wakati mgumu maishani kushusha hadhi kushusha thamani kumfungia kila kitu na kumfukuzisha


kazi kibarua na kumuharibia ndoa kumuharibia mshusiano

kumfukuzisha kwa mume au kumkimbiza mtu asionekane bila ya ugomvi wala sababu jini huyu umtilia mtu kisirani katika kazi zake katika biashra katika maisha yakawa mikosi nuksi za mara kwa mara kupotteza pesa kutofanikisha kila ufanyalo umri unakwenda huna chochote cha maana ulichofanikisha maishani jini huyu ufunga mtu asipate mtomto wala asizae asishike mimba akishika inatoka jini huyu hata wakati mwingine usababisha kutopatikana kwa vipimo sahihi vya mgonjwa kwa visa vyake mtu anaweza kuumwa maradhi yasionekane mpaka madaktari wkashangaa jini huyu umsumbua mwanadamu na kumkosesha amani maishani ikaonekana kila kitu kipo sawa katika vipimo lakini yeye bado mgonjwa anaumwa kila siku na tiba hapati jini huyu umfunga mwanaume asimpe mimba mwanamke uharibu mbegu za uzazi za kiume zikawa viza au wadudu kukosa nguvu ya kumpa mtu mimba jini huyu uvuruga kazi biashara uitia kisrani ikakosa mafanikio ikakosa wateja ikakosa faida unauza upati kitu unapata khasara na hata udalali ukifanya ufanikishi unaweza kumtafutia mtu kitu akafanikisha wewe usipate chochote akatokea mwingine akapata kiulaini jini huyu ufunga rizki kipato na utaftaji kuwa mgimu pesa haikai ikiingia tu mara imetoweka bila cha maana ulichofanyia na ukipata kidogo haipatikani nyingine mpaka iliyopo iishe jini huyu uitia pesa mikosi na nuksi ukapatwa na majanga matatizo mfululizo mpaka pesa imalizike ukauguza ukauugua ukapatwa na misiba ukaharibikiwa na vitu vyako muhimu au mtoto akafukuzwa shule na kila tatizo huwa kisrani cha jini huyu umtia kisrani mtu asiolewe asiooe asikae na mtu mara kaachwa mara kakimbiwa jini huyu umfunga mtu akakosa misaada kwa watu mbalimbali anao wajua wakmdanganya au kumdharau na ahadi hewa zisizotekelezeka jini huyu mahaba kisirani na nuksi na mikosi uharibu vitu muhimu vya mtu mahali popote pale umsababishia mtu kutokubalika umuharibia kila kitu chake jini huyu mahaba wa kisrani umtia mtu katika kuchukiwa na watu hata ndugu jamaa na marafiki jini huyu ni hatari sana ukiwa nae mwilini mwako huna la maana utakalo fanikisha unaweza kufuatilia kitu ukifika mwisho kina kwama jini huyu umtia mtu nuksi kila mahali aendapo na kumsababishia migongano mbali mbali jini kisrani mahaba ukiwa nae ujue upo katika matatizo makubwa sana maishani jini huyu ufunga nyota zako na kuzitia giza zisiwake jini mahaba wa kisrani huwa jini anae kaa mbele mahali popote uwendapo atangulia yeye jini huyu hatari sana katika mwili wa mwanadamu na ukiwa nae huwezi kupata utakacho mpaka atoke mwilini au atolewe


 
Acha nikabishane Siasani maana eti na hili ni lakuomba Ushauri kweli?
 
Aiseee K unapewa buree... mtoto wa watu umemgeuza dodoki kuutwa haitoshi umemzalishaa,umemgeuza housegirl wako,mkata kiu,mahari kwao ujatoa angalau mzazi aseme nimezaa... Kasimu ka sh ngapi hako wewe konokonoo kimekushinda? mpe yako nalaaabuk wewe....
 
Nimeoa, japo sijafunga ndoa ila niliezaa nae tunaishi wote kwa sasa. Ila gafla tu baada ya muda wa sindano ya mpango wa uzazi kuisha, alitakiwa kwenda kuchoma ingine, ila alikataa kwenda na kuninyima haki yangu kwa madai kuwa mpaka nimnunulie smartphone sasa umepita mwezi tangu anifanyie hivyo.

Naombeni ushauri wakuu. Na anajua kwa sasa sina uwezo wa kumnunulia hiyo simu

Amekunyima kwani hujatoa mahari kwao?
 
njoo nikupe mie

askukondeshe bureeeeee

nakupa bila kikomo

hahahaaaaaa
 
smart phone zinatuletea umaskini tu na uvivu wa kufikiria

Nyie ndio mnapenda smart4ne mko tayari kulala njaa ili ndoto itimie....unamkuta sista duu ana i4ne 6 au galaxy s6 n hapo anakaa ghetoo vitu vyote ndani havizidi laki 3....hatarii sana
 
Nyie ndio mnapenda smart4ne mko tayari kulala njaa ili ndoto itimie....unamkuta sista duu ana i4ne 6 au galaxy s6 n hapo anakaa ghetoo vitu vyote ndani havizidi laki 3....hatarii sana
ha ha haha kiukweli ni hatari aisee,.. na kutumia miili yetu vibaya ili tu tupate smart phone
 
ha ha haha kiukweli ni hatari aisee,.. na kutumia miili yetu vibaya ili tu tupate smart phone

Ndio zao wanataka maisha mepesi kwa kutoa mpapa kumbe wanajimaliza hawajui......halafu ohhh maisha magumu maninaaaa zao acha mipapa yao ilegezwe n kuota sugu
 
Ndio zao wanataka maisha mepesi kwa kutoa mpapa kumbe wanajimaliza hawajui......halafu ohhh maisha magumu maninaaaa zao acha mipapa yao ilegezwe n kuota sugu
Mungu wangu umeomba hiyo sala kama vile huna ndugu wa kike... sema wakuepushie ndugu zako wa kike wasiwe na tamaaa
 
Mungu wangu umeomba hiyo sala kama vile huna ndugu wa kike... sema wakuepushie ndugu zako wa kike wasiwe na tamaaa

Maisha yao ndio wameyataka hata kma kuna ndgu zangu wanafanya ni juu yao....bt hiyo life watakayo ni muda mfupi tu then wanapotea
 
Back
Top Bottom