Recent content by MakinikiA

  1. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Habari za Udukuzi.....

    Ok ameshinda atalipwa FIDIA
  2. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Hii salamu ya shikamoo imekaaje?

    Morning,,morning
  3. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Habari za Udukuzi.....

    Kuna dalili jamaa akaachiwa HURU Mama kaamua kuwa mzazi ,,,uongozi kauweka pembeni ..... Tuendelee kuvuta subira
  4. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Waajemi wangefanikiwa hilo na mfereji wa Homz ungepitika free
  5. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyepitisha Katiba ya Rais kuwekewa kinga?

    Kambarage alisema kwa katiba anayoitengeneza siku akitokea Rais mlevi mlevi hivi Tanzania itaharibika
  6. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mambo yanaendelea kutokota

    Chadema shikilia hapo hapo kama Iran pale Homz. Kusikilizwa kabla ya makubaliano ndio jambo la msingi. Mioyo ya wanachadema imejaa makovu waombwe msamaha kwanza ndipo wahitajike . Toa boriti kwenye mboni yako kwanza .
  7. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Tufanye kazi ya kuridhiana, tusiendeleze ugomvi. Asitokee mtu kusema mimi sitaki kuridhiana

    Toa boriti kwenye mboni yako
  8. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Trump atoroshwa kwa roli uturuki

    Nilicheka siku nilipomuona Netanyahu akikimbilia kwenye handaki
  9. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Na smartphone yako ataacha location on
  10. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Kiburi sio ujasiri
  11. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya sisi ni Wakwe muwe na ADABU

    Mhubiri wa televisheni maarufu na mwenye utata nchini Kenya, na mwanzilishi wa Huduma ya Uponyaji ya Salvation (Salvation Healing Ministry) ya Nairobi, Pastor Victor Kanyari, amemkosoa vikali mume mtarajiwa wa mtoto wa Rais wa Kenya, Charlene Ruto, anayefahamika kwa jina la Isaya Yunge, raia wa...
  12. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Generali wa ngazi za juu anashauri Marekani iachane na vita,Hali ni ngumu.

    Alichukulia poa kama venezuera kwamba wanaume wanatamwangalia kama movie ya Hollywood
  13. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Generali wa ngazi za juu anashauri Marekani iachane na vita,Hali ni ngumu.

    That is real ,, Trump acting as Hollywood
  14. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Shamba la bwana Kheri, Mbuzi wa bwana Kheri

    Majaji wawili kutoka Uganda na Namibia ni miongoni mwa makamishna sita watakaochunguza waliohusika na makosa ya jinai na ukiukwaji wa sheria uliotokea kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua rasmi tume hiyo Ijumaa. Tume hiyo...
  15. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Trump: Tunaendelea na Mazungumzo mazuri na Iran

    Wayahudi wanaishi kama panya kwenye bankers
Back
Top Bottom