Recent content by MakinikiA

  1. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Nato anatafutwa aingie kwenye mfumo

    Oreshnik Haya makombora sasa yapo mikononi mwa wapiganaji tofauti na mwanzo yalikuwa bado kwa ma tester.
  2. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Je, wakenya wapo sahihi kuifanya nchi yao kuwa dampo la Ebola?

    Hapa naweza kutamka kukubali kupokea wagonjwa wa Ebola na kuwekwa nchini kwako ni kosa. Kenya imefanywa dampo la kutupa magonjwa kwa kupewa pesa ambazo hazifiki hata bilioni 50 za kitanzania. Hii ni dharahu kwa Afrika hao wagonjwa ni wamerekani kwanini wasiende kwao Marekani ndipo watibiwe...
  3. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Nato anatafutwa aingie kwenye mfumo

    Drone strikes residential building in Romania (VIDEO) Romania’s Defense Ministry claimed that the UAV which injured two people in the city of Galati came from Russia A residential building damaged by a drone strike in Galati, Romania, May 29, 2026. © ISU Galati A drone crashed into an...
  4. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Pambafu, mnajadili cc za magari badala ya solution ..
  5. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Ni uhakika kwamba waliotekwa karibu wote tayari wamekufa

    Ok
  6. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Nilitegemea huyu kijana ataitwa bungeni kupewa zawadi, ila wachezaji wa mpira wanapishana huko bungeni

    Inshort TZ kuna umasikini wa akili sana
  7. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Nilitegemea huyu kijana ataitwa bungeni kupewa zawadi, ila wachezaji wa mpira wanapishana huko bungeni

    Kijana Wa Kitanzania Aibuka Mshindi Mashindano Ya Nyuklia Kimataifa Kijana mtaalamu kutoka Tanzania, Japhet Matekere, amechaguliwa kuwa mmoja wa washindi wa mashindano ya video ya kimataifa ya “Atoms Empowering Africa 2026”. Mashindano hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya nishati ya nyuklia ya...
  8. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Trump anatishia kuishambulia Oman

    Ana mihemuko
  9. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Israel yanunua Ndege 6 za kujaza mafuta angani (Tanker)

    Halafu zitapaki wapi ,Tel aviv yote ipo under target.
  10. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Ndugu watanzania wiki ijayo tunaingia toleo lingine jipya. Mmejiandaaje kupokea maumivu je ewura wakipandisha bei hali zenu zitakuwaje. Wahusika wamekosa majibu ya kudumu waanatoa kisingizio ni janga la dunia. Nani wa kuwashinikiza hawa waondoe vitozo vilivyowekwa kwenye mafuta kwa ajili ya...
  11. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Ni kweli tozo iwekwe tena kubwa hasa malori mpaka bajaji na bodaboda Lori likiharibika njiani litozwe faini
  12. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Russia yatoa onyo kwa mabalozi na raia wa nchi za kigeni kuondoka Kyiv mara moja ili kuendeleza mashambulizi kwenye mji huo

    Putin anajichelewesha tu, Piga UA huyo Zele..
  13. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Raia wenye hasira wachoma kituo cha Matibabu ya Ebola DRC

    Mabeberu hao wapo tayari kuua wachukue madini
  14. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Baada ya Ukraine kupiga makazi ya wanafunzi ,Kiev yapondwa pondwa .

    Mpaka sasa Kiev haijasema madhara yaliyotokea wamebaki na kigugumizi Nato wanasubiriwajichanganye
  15. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Baada ya Ukraine kupiga makazi ya wanafunzi ,Kiev yapondwa pondwa .

    Anaepuka vifo vingi
Back
Top Bottom