Hapa naweza kutamka kukubali kupokea wagonjwa wa Ebola na kuwekwa nchini kwako ni kosa.
Kenya imefanywa dampo la kutupa magonjwa kwa kupewa pesa ambazo hazifiki hata bilioni 50 za kitanzania.
Hii ni dharahu kwa Afrika hao wagonjwa ni wamerekani kwanini wasiende kwao Marekani ndipo watibiwe...
Kijana Wa Kitanzania Aibuka Mshindi Mashindano Ya Nyuklia Kimataifa
Kijana mtaalamu kutoka Tanzania, Japhet Matekere, amechaguliwa kuwa mmoja wa washindi wa mashindano ya video ya kimataifa ya “Atoms Empowering Africa 2026”.
Mashindano hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya nishati ya nyuklia ya...
Ndugu watanzania wiki ijayo tunaingia toleo lingine jipya.
Mmejiandaaje kupokea maumivu je ewura wakipandisha bei hali zenu zitakuwaje.
Wahusika wamekosa majibu ya kudumu waanatoa kisingizio ni janga la dunia.
Nani wa kuwashinikiza hawa waondoe vitozo vilivyowekwa kwenye mafuta kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.