Recent content by majimbi

  1. M

    Nb

    kifafa hicho:juggle:
  2. M

    Lodilofa na majibu yake....

    hahahhhah jamani msinikumbushe vile vibonzo vya zamani nilikua naipenda sana Sunche na Kapeto. siku hizi hv hamnaga hizo???????
  3. M

    Meno kuwa na rangi ya ukijani kama kutu

    jamani mm nawasubiria madactari wakimaliza mgomo wataniambia. asanteni full stop
  4. M

    Kwa jamaa zangu wananaotafuta ajira

    tunakushukuru mkuu
  5. M

    Sakata la mgomo wa madaktari : Mnyika jiuzulu upesi umetuaibisha na kutufedhesha

    big up Mh. Mnyika fanya kazi uliyotumwa na wanyonge
  6. M

    Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

    eeh pole sana jaribu kumwona specialist atakusaidia zaidi, kamwone dactari mwingine tofauti ya huyo ulienae sasa. jaribu Dr. Masawe Morocco
  7. M

    Must read this..!!

    mmh wizi mtupu hana lolote!111111 bora angeandika kisambaa ningemuelewa
  8. M

    BABU WA LOLIONDO: nimeoteshwa, muujiza mpya unakuja kaeni mkao wa kula.

    ile ni sayansi tuu mwenzetu sasa hv ana landcruizer safi mkonge shaur yao wale waliokodi mabas kwenda loliondo hakuna cha dawa wala nini ni uzush mtupu
  9. M

    Meno kuwa na rangi ya ukijani kama kutu

    sio meno ya fegi wala ya kichaga imetokea tuu kuwa na rangi hiyo pia yanatikishika kwa mbali. naomba msaada, hem nisaidie tafadhal poison ya aina gani ufafanuz plz
  10. M

    Meno kuwa na rangi ya ukijani kama kutu

    Naomba mnisaidie dawa ya kuondoa rangi ya kijani kama kutu kwenye meno hii inasababishwa na nini ? na hii rangi ina madhara? nilienda dental clinic moja wakaniambia kusafisha ni shs. 45,000
  11. M

    Jwts watinga muhimbili

    kwel jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
  12. M

    Shule nikiwa kazini je inawezekana.

    mkuu usiache kazi nakushauri soma masomo ya jioni ni vema usome OUT mbona wengi tuppo kazini na tunasoma open, kazi muhim ndugu
  13. M

    Chadema wamnunua pinda

    mmeonaaa eeeh chadema bwana noma!
  14. M

    Ladies: High heels damage leg muscles

    kwa wadada warefu wakivaa high hill huwa sioni wanapendeza, me naona inapendeza kwa wadada wafupi ila miguu inakomaa kama ya mchezaji mpira wa miguu
  15. M

    Huu ni ugonjwa au style ya kujistarehesha??

    duu hii sasa kali ndo naskia leo
Back
Top Bottom