tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
CHADEMA watu wabaya sana..wamemshinikiza pinda awatishe madaktari na kupiga marufuku mikutano yao ktk ukumbi ambao walikuwa wameshaulipia
Du chadema wameingia tena.
Kila ki2 kina dema, kisa chadema..huu mchama noma.
Na taarifa za kiintelijensia zinasema chadema ndio walisababisha mafuriko yaliyotokea Dar mwishoni mwa mwaka jana!
Chadema walisababisha man utd afungwe na liva.
Chadema wamesababisha posho za wabunge zipandishwe