1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Mkuu mimi sioni kama hoja yako ina mashiko kwa sana,maana jukumu la kuibana serikali lilikua ni la wabunge wote na si Mnyika au CDM,bad enough wengi wa wabunge wamefurahia hii kutojadiliwa kwa hoja ya mgomo wa ma dr wakati watu wanazidi kuteketea,hii ni dhahiri hawa watu si wenzetu na hata wajibu wao kwa wananchi kuna mashaka kama kweli wanautambua,wakujipigania ni sisi wenyewe sasa wananchi....na katika mgomo huu si kwamba wanao athirika ni watu wa CDM au CUF pekee yake,mpaka hao walioiweka serikali madarakani nao ni wahanga wakubwa wa mgomo huu....alafu tunasema serikali au wabunge wetu wanajali kwa lipi???uhabiki haufai maisha yetu yanateketea..