Mkuu mtu aliye makini, huonyesha umakini wake kuanzia kwake binafsi, familia yake ndio inakuja jamii. Sasa kama huyu mtu kashindwa kuwa mkweli kwenye elimu yake tu je unadhani huyo mtu anaweza kuwa mwaminifu kwenye ofisi ya umma?. Swali jingine la msingi kama ni mtu makini anadanganya elimu yake...
Mkuu nikweli kabisa lakini habari za uhakika Magamba kwenye kesi hiyo wamekata Rufaa kwa madai kwamba mahakamaa kuu mwanza haikuwatendea haki, walalamikaji magamba ambao ni Yusuph Lupilya, Nuru R. Nsumbuga na Beatus M. Madege. kwa mujibu wa nakala hiyo kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa...
Kamanda watu wote wanaotoka kambi ya Magamba ni kama wendawazimu, nimemsikiliza eti nzuri kama ya mwaka 77 sasa kwanini tunataka mpya kama ya1977 ni nzuri, Watu wa magamba ni kichwa cha mwendawazimu.
Kamanda naunga mkono hoja 100%. Shida ya magamba ni kukosa analytical skills za kuchambua mambo, yanakurupuka tu kuropoka mambo. Sawa Mtei ni mwasisi wa CDM lakini si msemaji wa CDM. Shukuran kwa stament yako kamanda Mnyika.
We usiwe kama hutumii akili ni wazi kama ulifatilia michezo extra walikejeli sana na kufurahia simba kufungwa na walifikia hatua kusema hata kabla ya mpira kuisha kuwa simba hawana cha kufanya, nakuanza kusema kufa kafa baba yako we nani usife. Bahati nzuri wote waliumbunga pumbavu zao. Acha...
Huyu Lusinde ni mnafiki tu hanalolote, ajiuzulu tu tuchukue jimbo leto, yupo kama vuvuzela linatoa mlio kadri lipulizavyo, hana vigezo vya kuwa kiongozi
Dr anamajukumu makubwa sana. Istoshe CDM wana watu wengi makini hata Magamba wanalitambua hilo. Hata hivyo ngoja tuone makamanda watakua wameamua nini pale NMC then tutapata mwelekeo. People's
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.