UTANIPENDA
Member
- Feb 25, 2012
- 31
- 12
Jimbo la arusha mjini lisiachwe wazi na ni mwiko kwa jimbo kwenda ccm.
CHADEMA mtumieni huyu katibu wa mkoa Amani Golugwa kugombea ubunge wa arusha mjini. Nasikia ni rafiki mkubwa sana wa Lema na tunavyomjua ni mtu mwema sana na Lema ataweza kutembea naye kwa urahisi kufanya nae kampeni maana ni rafiki yake.
Iwapo mtakata rufaa na ccm wakaendelea kucheza rafu zao dhdi ya Lema jamani changisheni karata vizuri.
CHADEMA mtumieni huyu katibu wa mkoa Amani Golugwa kugombea ubunge wa arusha mjini. Nasikia ni rafiki mkubwa sana wa Lema na tunavyomjua ni mtu mwema sana na Lema ataweza kutembea naye kwa urahisi kufanya nae kampeni maana ni rafiki yake.
Iwapo mtakata rufaa na ccm wakaendelea kucheza rafu zao dhdi ya Lema jamani changisheni karata vizuri.