Lowassa aonja nguvu ya CHADEMA Tunduma

Lowassa aonja nguvu ya CHADEMA Tunduma

he is paying back alichoiba serikalini
wala msidanganyike

This is very true.
Anapata wapi Miliions za kugawa kila mahali?
Mimi nahimiza makanisa yamwite kwenye harambee zao zote, wapate pesa za bure, kwa maana ni pesa zao.
Ukifika 2015, akili kichwani.
 
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit

umesahau wabunge wako wa ccm walivyowazomea chadema bungeni, tena kwa mambo ya msingi sana
 
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit

Hebu orodhesha hao wana-ccm aka Mafisadi wanaoweza kujipanga barabarani zama hizi...Nenda na wewe Tunduma na jez yako ya Kijani yenye alama ya jembe na nyundo then utawaona-ccm
 
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit

Hiyo pumzi ya kuzomea wanayo? :smile:
 
safari hii hata tupewe lakilaki hatuna nguvu ya kuwazomea cdm jamaa wako juu sana.
 
This is very true.
Anapata wapi Miliions za kugawa kila mahali?
Mimi nahimiza makanisa yamwite kwenye harambee zao zote, wapate pesa za bure, kwa maana ni pesa zao.
Ukifika 2015, akili kichwani.

Ingelipendeza ukiyashauri makanisa yajitenge naye, ya Kaizari apewe Kaizari. Utakuwa umewapa ushauri mzuri zaidi. Kuliko hili linaloendelea, leo ushangiliye kupokea fedha yake, kesho upande madhabahuni uwakemee watu kuiba, kumbuka hiyo ni Amri ya Mungu. Anyway, sijui ni picha gani utakuwa unaijenga ndani ya waumini wako - au ndo yale yale, fuata ninalokuambia usitende nitendayo mimi!
Tufikie mahali tuwe serious, Nyerere aliwahi kusema - mtu akisema anaichukia rushwa hakika hata tukimwangalia usoni tuweze kuliona hilo. Mi nitaitilafiana na hawa wachunguja wanaoongozana kumwalika kwenye harambee zao, na mara baada ya hapo wanakuja na story za kutoliibia taifa!.
 
Ni uwongo mtupu wa LOWASSA kukutana na majaribu... Bali kakutana na raia wanaopenda mabadiliko... People's... Power!
 
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit

hao ccm wa kuzomea wapinzani wako wapi? Chama kishakufa, mpaka vikongwe wanakikataa
 
Hakuna wana-CCM bila ya kugawa pesa na kutoa usafiri wa Bure watu wabadilishe mazingira. Wangekuwapo wangekwisha ku-react nao. Pengine ulikuwa hujui hili kuwa kwa sasa kama wewe ni Mwana saikolojia utagundua kuwa hakuna mwana-CCM kwasasa.

Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
 
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit

mie nazani hiyo mijitu utakua wewe na wenzio ambao mnaona CCM ndio yenye hatimiliki ya kila kitu ndani ya nchi hii, vp ndugu, au nawe ndio umefika mwisho wa kufikili?
 
hata ivyo walikosea sana, mbali na kupaka Rangi ya mawe pia wangemshusha na kutembeza kwa miguu mpaka anakokwenda ili aonyeshe huo uzalendo wake wakuchangia kila kukicha, alaaaah! pesa zenyewe za kwetu, au ndio style waliyoambiwa jinsi ya kurudisha pesa za RICHMOND......na EPA
 
huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit

acha ushamba mfuasi wa magamba we, iyo ni protest dhidi ya mafisadi, we ajabu sana, ulitaka wamshangilie fisadi lowasa,

wananchi c machizi wawazomee viongoz wa cdm kwa mabaya yapi walofanya, labda wewe utashangaa kwani umezoea kuwaona mafisadi wakishangiliwa na wakitoa misaada ela walozikwapua, ah basi na tutawazomea ile mbaya ile mbaya
 
Tunduma ni nouma! CDM inakubalika
Sana ila wanahitajika majembe zaidi,
Silinde can talk the talk but he cant walk
the walk!
 
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
mkuuu soma alama za nyakati watu kufanya walivyo fanya ni kuonyesha kuchoka, magamba si watu wewe
 
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit

Cheza na nguvu ya Mungu wewe, mthubutu....hakuna fisadi atakayesalia!
 
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit

Nakuonea huruma kweli....sasa kuna wanaccm ambao bado wanajionesha hadharani siku hizi??? Labda umebaki peke yako...zaidi ya hawa viongozi wako wa ngazi ya mkoa, na wilaya na Taifa, hakunaga tena...nani ajipange barabarani kuwazomea CHADEMA? CCM gani? wako wapi? mbona mtaani hata bendera za ccm zimefungiwa???? AIBU KWELI...UMEBAKI MWENYEWE TU KAKA, HAKUNA MAGAMBA YANAYOONEKANA USWAZI...WAMEBAKI WACHUMIA TUMBO KAMA WEWE...LOL.
 
Back
Top Bottom