Wasifu wa Elimu wa Dr. Mary Mwanjelwa

Hao wabunge wanawake wazee kutoka mkoa wa Mbeya ndio wanaompaka matope huyu dada kwani wanamuona ni tishio kwa wao kuendelea na ubunge!!
 
Nazani hata kama u-doctor wake ni fake basi tuaangalie deliverables haswa katika kutumikia wananchi na kupunguza umaskini.
 
Hao wabunge wanawake wazee kutoka mkoa wa Mbeya ndio wanaompaka matope huyu dada kwani wanamuona ni tishio kwa wao kuendelea na ubunge!!
Mkuu,si hilo tu bali hata huko mbeya kupata nafasi ya uongozi kupitia ccm ni kazi kubwa sana! you know why? ccm
imechokwa na haikubaliki tena mkoani mbeya. So huyu dada ameangalia alama za nyakati na ameona kuendelea na
ccm sawasawa na wasting of time! So kama ni kweli anataka kujiunga na makamanda nampa hongera sana.
 
Nazani hata kama u-doctor wake ni fake basi tuaangalie deliverables haswa katika kutumikia wananchi na kupunguza umaskini.
Mkuu, huyu dada ni jembe la ukweli nilibahatika kukutananae vijiji fulani mkoani mbeya akifanya mambo ya maendeleo kwa
wananchi wake kwa vitendo na kwa kuwaelekeza. So hawa watu wanaosema huyu dada hana elimu mie wananishangaza
sana! kwani viongozi wengi wa ccm wamesoma hadi mwisho wa dunia lakini wanayotufanyia hayaendani na visomo vyao.
 
jamani lazima tujue sifa za kiongozi anayefaa ni zipi. Hili la kudanganya kwa hakika si mojawapo ya hizo sifa. Wahusika wanatakiwa kuhakiki habari wanazoletewa na wabunge wote. Tukifuatilia kipindi cha karibu miaka 18 yote huyu mbunge alikua anajishughulisha na nini tutajua tu. Ninavyojua aliwahi kuishi nchini Swaziland akiwa mke wa ndoa kwa jamaa mmoja toka pande za ziwa Victoria. Yawezekana alikua house wife.
 
mawziri wangapi wanaitwa madk,na hata huyo rais pia ni dk wachungaji pia yaani ni matakataka, madudu, ufisadi ,wizi mtupu.MUNGU YUPO tusubiri tu hacheliwi walasio kipofu.
 
Kwa taarifa A - Level Siha Secondary School ilianza 1991 na si 1983. Tutadanganywa kwa mengi!!!!!

OMG! mtu anawezaje kudanganya kiasi hiki. Duh! hii nzito. ALishawahi kuishi Kilimanjaro katika usichana wake akisoma, inawezekana kabisa hakufaulu O'level pale Sangu mbeya...au alienda kurudia huko Siha???! kazi ipo
 
Ni Dr. Magumashi huyu ndio maana analilia uwaziri wakati kuna wenzie kibao hawakuteuliwa. achana nae

majuzi kati alikanusha hizo habari za kulilia uwaziri, waandishi wamebadilisha maneno jamani. Kwa hilo alionewa. Shida ni hili la kudanganya wazi wazi.
 
Huyu Mheshimiwa ni Mwongo tena anapenda kuudanganya umma, hajawahi kuwa mkurugenzi wa PSI- TANZANIA , pale alikwua tu mtu wa mawasiliano , adanganya umma na anaonyesha yaliyomo moyoni mwake , UCHU WA MADARAKA. PSI haijawahi kuwa na mkurugenzi mtanzania zaidi ya Daktari mmoja hivi somebody ROMANUS
 
PHd yake ni ya heshima. Sikumbuki ni chuo gani kilichompa hiyo degree, ila nakumbuka alikabidhiwa hiyo degree ya heshima pale Mikocheni B Assemblies of God (kwa Dr. Rwakatale) Habari ndo hiyo!

hoho....!
Phd kanisani!!! Ya kusoma Biblia???

Wanazuoni tuelezeni kama mnaielewa hii shahada kwa namna gani.
 
Taarifa hizi nimezitoa kwenye website ya Bunge. Pamoja na kwamba anaitwa Dr. mwanzo wa jina lake, lakini hakuna mahali panapoonyesha huo u-Dr. unatokana na yeye kupata PhD, au MD, au BVB au Honoris Causa. Pili najiuliza kama Centre for foreign relations walianza lini kutoa BA. Kwa kuwa hadi leo hii chuo hicho kinatoa elimu katika ngazi ya Cheti, Diploma na Post-Graduate Diploma. Huyu amedanganya taarifa zake za elimu, pia hakuna chuo kinachoitwa " Institute for Diplomacy & International Relations" bali kuna "Centre for Foreign Relations"

SalutationHonourableMember picture
1579.jpg
First Name: Dr. Mary
Middle Name:Machuche
Last Name:Mwanjelwa
Member Type:Special Seat
Constituent:No Constituency
Political Party:CCM
Office Location:Box 72140, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 787 032800/+255 767 032800
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Muungano Primary SchoolPrimary Education19711977PRIMARY
Sangu Secondary School, MbeyaO-Level Education19781981SECONDARY
Siha Secondary School, MoshiA-Level Education19821983HIGH SCHOOL
Institute of Management & Information TechnologyAdvanced Diploma20012004ADV DIPLOMA
Institute for Diplomacy & International Relations , Kurasini Dar Es Salaam
BA2006
GRADUATE
St. Augustne University of TanzaniaDegree (Mass Communication)2009MASTERS DEGREE
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Special Seat20102015
Population Services International (PSI) TanzaniaDirector20062010
Placer Dome Tanzania (Gold Mine)Manager - Liason & Corporate20012005
Two Wings Pegasus Ltd - TanzaniaManager20002001
Parastatal Sector Reform Commission (PSRC), TanzaniaAssistant Information Officer19992000
Agakhan FoundationAdministration Officer19981998
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - National Executive Committee20072012
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - UWT National Board2007
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - Regional General Council2006
PUBLICATIONS
DescriptionPublished Date
Dr. M. Mwanjelwa: Political Handbook, "Mobilising Women in Tanzania for Election & the Empowerment" Fridrick Egbert Stiftung (FES), Dar Es Salaam.2009
Dr. M. Mwanjelwa: Political Handbook, "The Role of Communication in Enhancing the Political Participation of Women" Fridrick Egbert Stiftung (FES), Dar Es Salaam2009
Dr. M. Mwanjelwa: Political Handbook, "The Plight of Women in Economic Struggle & a Case of Tanzania Women & Leadership", Fridrick Egbert Stiftung (FES), Dar Es Salaam2010
SPECIAL SKILLS
Skill Name or DescriptionYears ExperienceAcquired ThroughSkill Level
No items on list
RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition DateReasonAction TakenIssued by

Hakuna udaktari wa BVB instead kuna BVM- Bachelor of Vertinary Medicine aka wachinja mbwa!
 
CFR pia hawatoi BA wana Post graduate wale

kazi kweli? kwa wachambuzi kama mimi sijaona soo kwa huyu mama kwani bado sifa aliyonayo ina (hold water) kuliko ilivyo kwa wabunge wengi kama nia ni kuona cv zao, chukua mfano wa mbunge wetu mby vijijini mh mwanjali, mh. sugu na wengine wengi zaidi ya 51 haieleweki elimu yao ni ya secondari au ni p/school. hii ikiendelea kuachwa iendelee ktk maana ya kutokuona umuhimu kwa nafasi hizi kwenda sambamba na swala la elimu, ni hatari sana, na wakati mwingine hatuna sababu ya kushangaa hapa tulipo na baadhi ya mwenendo wa viongozi wetu kuja na hoja za kulazimisha na wakati wote kudhani wanaonewa. plse policy makers wetu, lobing groups kama NGO NI WAKATI SASA kupigia debe sheria zetu kuweka kigezo cha elimu ktk maana ya shahada ya kwanza kwa nafasi ya mbunge, na kama tuatendelea kuwa na mkuu wa wilaya basi iwe sawa na kwa wakuu wetu wa mikoa iwe shahada ya pili nk.
 
Hao wabunge wanawake wazee kutoka mkoa wa Mbeya ndio wanaompaka matope huyu dada kwani wanamuona ni tishio kwa wao kuendelea na ubunge!!

hivi wewe unaona nani anauonea onge huyu mama kwa hio CV isiyoeleweka haina muunganiko imejaa gaps ambazo hazina maelezo... tatizo la watu wengi anataka walale waamke wakiwa maDr. mapROF NK. HAYO MAMBO HAYAJI KWA KUFUMBA NA KUFUMBUA maisha ni a proces na lazima uyafanyie kazi kuweza kujustify beyond rasonable doubts kile unachodai ni chako bila ya kigugumizi.

Eti anaonewa gele...!!!! is is a very shallow comment.
 
Hapana mkuu! sema huyu dada mie namkubali sana....kuna siku nilibahatika kuhudhuria mkutano wake pale Mbalizi Mbeya
hakika aliongea mambo mazito sana na yenye point kwa Taifa letu....amini nakuambia mda wote aliokuwa anaongea pale
na wananchi hakuigusa CDM wala Rais wetu wa Mbeya (SUGU) So kwa haya machache nikaona huyu dada ameshazisoma
alama za nyakati.

Mkuu mtu aliye makini, huonyesha umakini wake kuanzia kwake binafsi, familia yake ndio inakuja jamii. Sasa kama huyu mtu kashindwa kuwa mkweli kwenye elimu yake tu je unadhani huyo mtu anaweza kuwa mwaminifu kwenye ofisi ya umma?. Swali jingine la msingi kama ni mtu makini anadanganya elimu yake ili iweje, kwaamana nyingine anatoa rushwa kwakuwaaminisha watu kuwa yeye ni msomi. Watu wa magamba husema hata uongo ili wazikwae nafasi kama hizo, sasa subiri kama ataongea point tena?
 
Back
Top Bottom