Kwa takribani wiki mbili sasa,taarifa ya habari ya saa 2 usiku haionekani mubashara kama ilivyokuwa zamani,na badala yale wanawaelekeza wateja wao kuangalia taarifa hiyo kupitia Azam App
Hivi wanaamini kila mwenye king'amuzi cha Azam ana simu ya rununu??Hivi wanajua internet coverage ya Tanzania...
Of course they are very intelligent...Ukienda pale MOI wale madaktari wa mishipa ya fahamu na ubongo(Neurosurgeon ) wote ni wahaya.....This is one of the speciality in medicine ambayo ni ngumu sana .....
Alichokosea ni kutowashukuru Madaktari wa Hospitali ya Dodoma ambapo alienda na kiasi kidogo cha damu kutokana na kuvuja damu nyingi.....Pale kwake ilkuwa ni golden minute.....Bila wao hata Nairobi asingeenda......Pole sana comrad e..
Hii ni hatari Sana... ingekuwa daktari angefutiwa usajili na kunyang'anywa leseni, angekuwa Padre basi leo angepaswa kurudisha Mali zote za kanisa kwa askofu wake....Nawaonea huruma Sana followers wake
Huyu Mbatia ameshaua chama chake, yeye kila siku anaenda kupokea wanachama wanaojiunga CHADEMA, yeye hakuna hata mmoja aliyejiunga kwake.... Baada ya huu uchaguzi kitakuwa kama UPDP cha Fahmi Dovutwa. Ila kinachomsumbua ni uchu wa madaraka
Laana ya kuchukua mafisadi papa itaimaliza Chadema...... Mwaka huu hata asilimia arobaini hawaipati, kazi kwao.... Watajutia kumchukua Lowasa na kampeni meneja wake Sumaye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.