jambo Tanzania
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 377
- 281
Haaa haaa!!! Umenichekesha kweli.kwahiyo hasira yako imeisha?Huyo mwanamke ana roho mbaya
Haaa haaa!!! Umenichekesha kweli.kwahiyo hasira yako imeisha?Huyo mwanamke ana roho mbaya
HaahaahahahaDawa yao ni kukomaa nao hadi mwisho,
pale mtakaposema waliosoma shule za kata wanatumbuliwa ndio mtanipata.
Ivi hawa wakuda huwa wanapita huku kweli?Kila mwaka tunafanyiwa tathmini kwa kutumia OPRAS, bado hiyo haitoshi?
Mkikuta performance yangu ni 200% mtanilipa shilingi ngapi?
Acheni UKUDA huo...
Mkuu fanya kazi na ulete deliverables....muda wa mazoea umepitaNiliajiriwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma, na nitafukuzwa kwa sheria na kanuni za utumishi wa umma, sawa bro?
Kufanya kazi kwa mazoea kumepita. Performance appraisal na deliverables kutakuokoaTUCTA acheni kukata pesa kwenye mishahara ya watumishi mnajaza matumbo tuu wajibu wenu hamtekelezi!! Shame
Ndiyo maana mnaondolewaDawa yao ni hii : 2% ya expertise yako ni kuitumia serikalini kufanya kazi, 98% ya expertise yako unaitumia kutafutia maisha yako nje ya muda wa kazi.
Hawana kituHawa wameona sijui hawana pesa mwaka mpya wa fedha huo unaanza waleta figisu
Ndio ufanye kazi sasa kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma..sio kuleta ujanja ujanja kusubiri mwisho wa mweziNiliajiriwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma, na nitafukuzwa kwa sheria na kanuni za utumishi wa umma, sawa bro?
Wanaweza kuwapa nafasi watoto wao waliosoma ant Kayumba, hiyo wanaweza kigezo hicho kuwaondoaHilo lisikutishe,shule wameanzisha wenyewe