Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,551
- 12,664
Ili kuondokana na tatizo la mtaji anza kidogo na uanze kukua.Mfano una maono ya kufungua bakery,anza na kuchoma maandazi huku ukiSave pesa na kukuza mtaji.Kidogo kidogo mwisho wa siku utafikia malengo yako!Umesomeka mkuu, Mawazo ya biashara yapo mengi kama ulivyojaribu kuonesha, shida yetu kuu ni mitaji ya uhakika.
Historia haiishiwi wino.