Ray Kigosi akiwa na mwanae Jayden!

Ray Kigosi akiwa na mwanae Jayden!

unakaweka tu juu ya meza, we unaendelea kugonga chai yako ya mkono mmoja huku ukimtizama, ukitoka hapo umeshiba kama vile umekunywa chai na kiporo
Hahahahaha, hii kali mkuu
 
Aiseee, huyu huyuuuuu
ea382556379d25d88a41f9782a078a13.jpg


948ad19a3e72112ce0e76e4df3d6d37a.jpg


7f3aac3e2075a4d23d45cdddf4a5e024.jpg
 
Hahahaha daah hayo makwesa mkuu
ndio mkuu sasa anakuwa anajikuata anavaa herin kama mama yake na mapodozi mebgine na ukitilua maanani ss wanaume tunaongoza kwa kula bata na watoto ila lonapokyja suala la quality time wakina mama wametupita wao full time wako nao wakiwa na afya wagonjwa kwa hiyo kuna ile natural bond ya mtoto na mama yake .
sasa mtoto huyo wa kiume kwa nini siku moja asitamani kuwa kama mama yake?mtoto wa kiume ukimlea sawasawa mara nyingi hu dream wife mwenye character xa mama zao na wakike ukiwa baba poa basi kuna uwezekano mkubwa wa kipata mkwe mwenye vitabia vyako ndio maana watu wanaodate mademu walio close na baba zao wanakuwa na wakati mgumu kwa sababu kiuhalisia hudeal na demu bali unadeal na baba yake in proxy!na nimademu wanojiamini ile mbaya!ila ikowapatia utakuwa njema maana ni mademu wanaofikiri bila mipaka ya jinsia zao inferiority kwao haipo maana mwanaume mkubwa kuliko wote kwake ni baba yake na wanaenda sawa!
 
Back
Top Bottom