kwa huku mpunguzi nakodi shamba 50,000 nanunua mbegu ya matikiti 120,000 mbolea 50,000 inayobaki ni kwaajili ya madawa. Halafu shambani naingia mwenyewe
#Chinamade Mimi ni mkulima wa kilimo cha umwagiliji. Mwaka huu mwezi wa pili nilinunua waterpump aina ya boss. Nikawa nimelima bustani ya nyanya,sikuamini kwenye mavuno maana nilivuna mara tatu zaidi ya mavuno ya hapo mwanzo,hvo ndo nimenufaika
Wakuu habari za weekend?
Jamani nauliza thamani ya rupia ya mjerumani maana nasikia ina thamani sana! Kama ni kweli mi niuze ya kwangu. Anayejua soko ani pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.