Recent content by Magwagu

  1. M

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    kwa huku mpunguzi nakodi shamba 50,000 nanunua mbegu ya matikiti 120,000 mbolea 50,000 inayobaki ni kwaajili ya madawa. Halafu shambani naingia mwenyewe
  2. M

    Shamba la kulima alizeti

    Njoo nikukodishe eka 3 kwa 150000 nipo dodoma na eneo lipo dodoma na ni zuri kwa alizeti
  3. M

    Mbuzi dume 100 nanunua.....

    Njoo pm Mimi nipo dodoma na utapata hiyo idadi ya mbuzi unao wahitaji
  4. M

    Coins zinahitajika haraka

    weka namba tuwasiliane mm ninazo nyingi na moja ni bei gani
  5. M

    Members Only! Bonge la surprise!

    Duuh! nimecheka sana.
  6. M

    Shiriki shindano la #ChinaMade kujishindia simu ya Huawei au Xiaomi Arm Band

    #Chinamade Mimi ni mkulima wa kilimo cha umwagiliji. Mwaka huu mwezi wa pili nilinunua waterpump aina ya boss. Nikawa nimelima bustani ya nyanya,sikuamini kwenye mavuno maana nilivuna mara tatu zaidi ya mavuno ya hapo mwanzo,hvo ndo nimenufaika
  7. M

    Dhahabu nyeusi.!

    Habari wanajamvi? nauliza kwa wataalamu wa madini eti kuna dhahabu nyeusi.
  8. M

    Yaliyojiri Tanganyika packers: Kampeni ya chama cha demokrasia na maendeleo 01/10/2015

    CCM hali mbaya sana, jana tu wamefanya mkutano wao hapa dodoma. Leo wamenitumia msg kushukuru na kuomba eti nimchague magufuli
  9. M

    Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

    simba 1 yanga 1
  10. M

    Shule bora za Serikali, enzi hizo

    Kondoa girls mbona haipo kwenye listi?
  11. M

    Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

    Zitto kachelewa sana, hayo maamuzi magumu alitakiwa ayafanye kabla na sio leo.
  12. M

    Thamani ya rupia

    Wakuu habari za weekend? Jamani nauliza thamani ya rupia ya mjerumani maana nasikia ina thamani sana! Kama ni kweli mi niuze ya kwangu. Anayejua soko ani pm.
Back
Top Bottom