Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
Sasa basi huo si uamuzi mgumu huo ni ubishi.. Mkuu kama unafanya kazi kampuni x na ukaona mambo hayaendi unafanyaje?? Unalilia lia tu huku unaskills na uzoefu wa kutosha?? Ni ujinga tu kumuamini huyu.. 2010 alipata kura chini ya 50% jimboni kwake, hata madiwani 10 hana jimboni kwake kigoma nzima mbunge kwa cdm ni yeye tu, hakuna mission aliwahi kuarchieve, si mabilioni ya uswisi wala si buzwagi...huyu anajidanganya na ndio anakufa kama ndugu yanke nyange kabouuru... Atawadanganya wasio mjua mimi nipo kigoma hapa kikazi naelewa sana wakati mgumu alaonao huyu jamaa.. Baada ya kuazsisha mizozo na cdm hapa kigoma watu wamemtoa thamani kabisa, watu wamezidi kujitolea kufungua vijiwe vya cdm kwa gharama zao na kukisapoti chama....
Ni Dr. Walid Amani Kabourou na si mwanamichezo Nyange Kaburu