Mkuu katika hili ni Mungu pekee ndie mwenye msaada na ulinzi. Mzazi anaweza akajitahidi sana lakin mtoto ndio kwanza makuzi na groups chafu zinazidi kukomaa akilini mwake. Na ukifuatilia ule uzi vizuri utaona akiwa kidato cha kwanza tu kafundishwa mchezo kinyume na maumbile na mtu mzima ambae...
Ninachoamini mimi ni kuwa hakuna mwanadamu yeyote yule mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa mwanadamu mwenzake isipokuwa Mungu peke yake ndie mwenye mamlaka hayo. Kwahiyo damu ya Lissu iliyomwagika Mungu lazima ataidai kutoka kwa alieimwaga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu umeongea point nzuri sana. Hizo garama zinategemea na maeneo na aina ya mteja mwenyewe. Tena kwa mikoani bei unakuta inakuwa hata pungufu ya hapo.
Tovuti ipi MKUU, kama ni utumishi ipo list ya kughushi tu ndio iliyotoka rasmi kwa mfumo halali wa taarifa za kiserokali. List inayosambaa kwanza kabisa haina kichwa cha habari na haina sahihi kuonyesha afisa anaethibitisha taarifa hiyo. Labda tuambie chanzo chako cha taarifa ya list hiyo tuweze...
Dah, hii kitu imeniuma sana kana kwamba ni mtoto wangu. Pole sana miss chagga. Jamani wazazi tusiwe wakali kupita kiasi kwa watoto na tujenge tabia ya kuwasikiliza watoto. Itasaidia sana kufahamu hisia zao na watakuwa huru kwetu kuelezea matatizo yao. Hebu fikiria miss chagga angeamua tu kuwa...
Nahisi huyu dogo haijatoka ndani ya moyo wake kabisa kwamba alimpenda na alihitaji kumuoa huyu Dada. Inaonyesha Flora katumia nguvu kubwa sana ya ushawishi kwa huyu dogo mpaka dogo akalainila. Na hata ukiangalia maandalizi na matangazo ya harusi hii yametumia nguvu kubwa sana ya Flora. Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.