Koma mburiMume ndie aliyekusomesha hadi ukafikia kupata kazi?! If no, nakushauri piga kazi, heshimu jinsi wazazi/walezi wako walivyotimiza wajibu wao kukusomesha na wewe ilikuwa haki yako usomeshwe
aendelee na ndima asimsimje mghosi!!!! hahahahahahahahaKoma mburi
Nimeishi muda mrefu bila kazi, maisha yalikua magumu mno, ndio maana nilikubali kufanya hii kazi licha ya kuwa na masharti magumu
Ina maana huo utaratibu ni kwa walimu wote au ni wewe tu nashindwa kupata picha.Kazini wanajua wananipa ruhusa jmos narudi jpili jion lakini mume wangu haitaki kazi ya hivi
mmeo anaona unampa show time.. .,' mwambie mmeo awe anakuja shule umpetpet hku unaangalia wap utaweza pata kaz nyngne au mmeo akusaidie kutafta ili umtoe wacwac....Kazini wanajua wananipa ruhusa jmos narudi jpili jion lakini mume wangu haitaki kazi ya hivi
mmeo nae hatumii akil ameona saiv kunavijsent kidgo ameshalzika atumie akil kuna maisha baada ya ndoa maisha magumu nahyo ndio challenge mojawapo ya ndoa kaachin mueleweshane maisha yalvyo aache ulimbukeni kma ataweza kuhudumia familia ipasavyo mckilze ila baadae mtajutia hyo nafac kunamsemo unasema acha kaz kma umepata kaz!!alamsiki!!Nimeishi muda mrefu bila kazi, maisha yalikua magumu mno, ndio maana nilikubali kufanya hii kazi licha ya kuwa na masharti magumu
Acha njoo pm nikupe nyingineNimeishi muda mrefu bila kazi, maisha yalikua magumu mno, ndio maana nilikubali kufanya hii kazi licha ya kuwa na masharti magumu