MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,094
- 7,218
Kivip mkuu..? Kama wewe una Bei chini ya hapo , weka mchanganuo wake hapa , waweza pata kandarasi kwa wadau.Hiyo bei bado ni kubwa sana.
Kivip mkuu..? Kama wewe una Bei chini ya hapo , weka mchanganuo wake hapa , waweza pata kandarasi kwa wadau.Hiyo bei bado ni kubwa sana.
Kivip mkuu..? Kama wewe una Bei chini ya hapo , weka mchanganuo wake hapa , waweza pata kandarasi kwa wadau.
Wengine ndio wanatuaminisha hiyo bei uliyoweka ndio inatosha kupaua tu,eti fundi milioni 3,bati milioni 5,misumari sijui milioni 1.5 mbao milioni 4 sijui watu wengine wanacomment kwa hisia tu,kwa nyumba za watanzania wengi ambao tumechoka kupanga huwa tunavutiwa na nyumba size kama aliyopost hapo mdau na hiyo ndio inainspire watu kujenga sasa watakuja wakandarasi WA bei za ajabu,mafundi so mngekuwa mamilionea toka muanze kazi hizo kama bei zenu ndio juu hivyo.View attachment 513060
Mpaka finishing tunauza kwa millioni 15 tu.
Mkoa gani hii mdau? Halafu hebu saidia kudadavua kidogo gharama za paa mkuu nimevutiwa size hiyo ya nyumba niishushe mbezi msakuziView attachment 513060
Mpaka finishing tunauza kwa millioni 15 tu.
Sitaki kuitumia platform hii kufanya promo maana hatuhitaji promo, njoo ofisini clock tower, Nkrumah streer ghorofa ya tatu ofisi za Viguta tutakusikiliza.Mkoa gani hii mdau? Halafu hebu saidia kudadavua kidogo gharama za paa mkuu nimevutiwa size hiyo ya nyumba niishushe mbezi msakuzi
Pole sana mkuu, ila kupitia uzi huu utapata mwangaAise safi kabisa, mwaka 2006 niliumbuka kwa kutokufanya mahesabu haya, maana hela ilikata huku mbao ziko juu, nilipoteza mbao karibu zote sababu sikujiandaa wala kufanya mahesabu kwanza, pata mahesabu kwa wajuzi jipime tekeleza mkuu..
Nilirekebisha zamani kaka, niko kwangu tayari, muda tu..Pole sana mkuu, ila kupitia uzi huu utapata mwanga
wa nini cha kufanya ili usiludie makosa tena.
Hongera sana mkuuNilirekebisha zamani kaka, niko kwangu tayari, muda tu..
Hongera sana mkuu
Kweli mkuu umeongea point nzuri sana. Hizo garama zinategemea na maeneo na aina ya mteja mwenyewe. Tena kwa mikoani bei unakuta inakuwa hata pungufu ya hapo.kupaua si gharama kiasi hicho kaka acha tamaa na kutisha watu labda gharama hizo ni kwa site za masaki na maeneo kama hayo au huko ni kutafuta faida za juu kabisa....hizo kazi tunafanya kila siku na bei ni za kawaida kabisa mf.. Nyumba ya vyumba 3 au 4 yenye vipimo standard itachukua mbao treated za hadi sh 1.5m, bati kama ni south around 3.5m na ufundi ni around 1-1.2m na tunafanya daily
Mkuu hebu nitumie nami sample maana wengi tuko kwenye huo mchakato. magazimoro@ gmail.comKwayeyote anae taka kuezekewa kisasa. namba yangu ya cm ni 0765 156828 na email ni kombaemmanuel42@gmail.com ukitaka picha nipe email yako nikutumie
Mkuu hebu nitumie nami sample maana wengi tuko kwenye huo mchakato. magazimoro@ gmail.com
Yah mkuu....nadhani sasa unaenda mwaka wa pili alifariki kwa ajali Shinyanga huko kulingana na habari alizozileta mdau mmoja alieshafanyiwa kazi na jamaa.Mungu azidi kumuhifadhi Namanyoro.Huyu Bwana Alishafariki!!
Njia nzuri ya kujua gharama ya upauaji..ni roof plan yako..aina ya kigae au bati..hivo vitakupa muongozo..mengine ni makisio tu.