Kwani ukiwepo msikitini shida iko wapi?kwani nchii hii ina mda wa kua sehem maalum kwa mda maa
lumu?acha unafki na kushadadia mambo mabaya kwakua hayajakukuta...
Wakimaliza kwetu wanakuja kwako....
Hivi unadhani ushauri gani unaoutaka wewe hapo?eti umemfukuza ila haondoki?haondoki kwako?au kwake? Naungana na anaesema umeolewa wewe...kama mnapoishi ni kwako angekua ameondoka tu...mwanamke anaeweza kutuma picha za uchi wake kwa mwanaume asie mume wake...huyo sio mwanamke...wa kumuita mke
MfalmewaKiha,
Kama utakua na mtaji wa m10..kwanini usiangalie fursa sehemu nyengine mbali na ulipo?unajua watu wengi mnawaza maisha yapo dar tu...kwa mshiko huo nakuhakikishia kama utachanganua akili vizuri hapa hapa unafanya vizuri na Botswana utaenda kutalii tu...
Wajamaa poleni na majukumu..anaeweza kunisaidia haka ka simu kangu anisaidie,,shida ni kuja matangazo ambayo mie hata sijui yanatokea wapi...nayachukia Sana'a...naomba msaada wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.