Recent content by mafia boy

  1. M

    Mauaji ndani ya msikiti wa Chumo

    Kwani ukiwepo msikitini shida iko wapi?kwani nchii hii ina mda wa kua sehem maalum kwa mda maa lumu?acha unafki na kushadadia mambo mabaya kwakua hayajakukuta... Wakimaliza kwetu wanakuja kwako....
  2. M

    Mume wangu anaumwa nyeti, nimeamua kumuacha

    Ungekua na festula ungeachwa ungemlaum mumeo au ungeenda temeke?
  3. M

    Picha hizi zimetengenezwa au ni ukweli,mimi naamini zinatengezwa.

    Betty low ni kweli kabisa huyo jamaa yupo Zanzibar ni teja maarufu sana...
  4. M

    Mke malaya, nimfanyaje?

    Hivi unadhani ushauri gani unaoutaka wewe hapo?eti umemfukuza ila haondoki?haondoki kwako?au kwake? Naungana na anaesema umeolewa wewe...kama mnapoishi ni kwako angekua ameondoka tu...mwanamke anaeweza kutuma picha za uchi wake kwa mwanaume asie mume wake...huyo sio mwanamke...wa kumuita mke
  5. M

    Natafuta mme wa kunioa

    Usingo mother je?we si uliona ufahari kuzalishwa.. Yako kachanga chako akilee nani?
  6. M

    Sema sababu iliyokutenganisha wewe na mpenzi wako wa zamani

    Pumbavu zake sitaki hata kulikumbuka...nimeliacha lilipojaribu kunibambikizia mtoto....
  7. M

    Aisee hivi huyu mke ni mzuri?

    Wewe na huyo odo sijui omo nyote sijawaelewa...vuta bangi ukiwa umekula
  8. M

    Botswana imeniingia Akilini

    MfalmewaKiha, Kama utakua na mtaji wa m10..kwanini usiangalie fursa sehemu nyengine mbali na ulipo?unajua watu wengi mnawaza maisha yapo dar tu...kwa mshiko huo nakuhakikishia kama utachanganua akili vizuri hapa hapa unafanya vizuri na Botswana utaenda kutalii tu...
  9. M

    Chato: Kituo cha runinga na uwanja wa kisasa wa michezo kuanza mapema mwishoni mwa mwaka huu

    Mafia wanapenda majahazi hata ukiwapelekea meli wanapanda viboti
  10. M

    Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

    Wajamaa poleni na majukumu..anaeweza kunisaidia haka ka simu kangu anisaidie,,shida ni kuja matangazo ambayo mie hata sijui yanatokea wapi...nayachukia Sana'a...naomba msaada wenu
Back
Top Bottom